Utoaji mimba

Kitendo cha hao madaktari kukubali kushiriki katika utoaji wa mimba hizo inachangia kwa kiasi kikubwa kuongezeka kwa vitendo vya ngono zembe hususan kwa wanafunzi. Jambo la msingi ni kwa madaktari hao kutambua kuwa jambo wanalofanya ni dhambi kulingana mafundisho ya dini na kinyume na maadili ya Mtanzania na mbaya zaidi wanashiriki kuua viumbe visivyo na hatia.

Kama watakataa kutoa mimba hizo hiyo itatoa fundisho kwa wote wanaoamini kuwa pindi mimba ikinasa nitakwenda kutoa. Jamii pia inatakiwa kuangalia jambo hili kwa upana zaidi na Serikali kuingilia kati kwa kufanya ufuatiliaji wa kina na kutoa adhabu kali kwa wale wanaoshiriki kwenye shughuli hiyo. Inasikitisha sana kusikia kuwa kuna baadhi ya wanafunzi wanatoa mimba zaidi ya nne kwa kipindi cha mwaka mmoja.

Ni vyema pia wanafunzi hao wakatambua kuwa hatari kubwa inayowakabili mbele yao ni kukosa uzazi kabisa kwa kipindi cha maisha na kuwa "KAMA MIMBA WANATOA, UKIMWI WATATOLEA WAPI?"
 
Tuanze na nyie wakaka muwe mnavaa condom


Kondomu haziaminiki Roza...cant imagine kuna marafiki zangu imewatokea wenzi wao wame concieve na walivaa kondomu....unajuwa inategemeana na msichana ...wasichana wengi hasa wenye umri mdogo below 25...na hasa ambao hawajawahi kutoa mimba ....hushika mimba kwa urahisi sana....
 
Wanajf salaam
kuna wimbi kubwa sana la utoaji mimba linaongezeka kwa fujo tatizo ni nini au tumekosea wap?
kuna rafiki yangu ni doctor maeneo ya kijitonyama/mwananyamala ananiambia kwa siku lazima atoe mimba 2 au tatu za wanafunzi wa secondary na chache wanafunzi wa vyuo anadai wale wa secondari zinakuwa kubwa hadi za miezi minne(kutokujijua), wale wa chuo wengi ni chini ya mwezi mmoja au miwili, huyu dr anafahamika sana kwa kazi hiyo.

jamani tufanyeje kupunguza haya mauaji ya watoto watarajiwa? tungesema elimu ya uzazi ifundiswe knye shule za msingi na sekondari itapunguza tatizo hili, je hao wa chuo wanaotoa mimba nao hawajui hii elimu!

maoni yangu: kama huwezi kujizuia kupata mimba bora usifanye NGONO au kubali kuzaa..... tumechoka na haya mauaji ya viumbe visivyo na hatia
TUKIAMUA Tanzania bila utoaji mimba inawezekana.

TUFANYEJE?? - Anza na huyo rafiki yako Dr Death! Mkabidhi kwa vyombo vy ausalama kwa kuvunja sheria.Baada ya hapo watashika adabu na kukoma kuchoropoa mimba za wanafunzi.Wanafunzi nao watajifunza pale watakapokosa pa kwenda ku fush....wataacha kucheza michezo ya kikubwa.Wenye kuzoea na kushindwa kuacha watacheza salama.
 
Huyo naona anatoa chache kuna mmoja pale manzese jamaa anatoa kama 30 kwa siku halafu ni fasta dk mbili na kutoka kama umekwenda kuandikiwa dawa na kuondoka. Na yule mwingine wa Kawe sijui kaacha siku hizi.

Mimi kiukweli sijui nini kinatokea aaahhh inauma kweli kweli jamani dunia imekwisha

Unitia shaka DA yaani wote unawajua na unajua how fast they are..................:A S 13:
 
Unitia shaka DA yaani wote unawajua na unajua how fast they are..................:A S 13:

Hivi in urban Tanzania,out of every 100 wangapi wanatoa au wametoa mimba-statistics zinazopatikana underground zinatisha,hence hii topic ingusa wengi sana although wengi wetu uplay innocent na kudai utoaji mimba ni alien
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom