Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,808
- 6,502
- Thread starter
- #21
Mwita Maranya , Nani amekupa huo uwezo wa kutukana wabunge wetu na kwa kufanya hivyo unawatukana pia wananchi waliowachagua. Au kwako kilaza ina maana gani?.Huu mpangilio/upangaji wa kamati za bunge sijaupenda kabisa. Kuna baadhi ya kamati zimewekewa wabunge vilaza kabisa.
Kamati kama za madini, hesabu za serikali, serikali za mitaa hazina watu makini.
Kila mbunge ana taaluma na ujuzi katika nyanja fulani, mpaka tuna wabunge wanamuziki. Nitakuelewa ukisema kama kuna baadhi ya wabunge wamepangiwa kamati ambayo ni nje ya taaluma na ujuzi wao.
Last edited by a moderator: