Wanajeshi sio raia hivyo hawagomi ila wanaasi. Na kuasi maana yake ni kutangaza rasmi kuwa hawamtambui Amiri jeshi mkuu. Na kwakufanya hivyo ni kutangaza vita na wale ambao bado wanamtambua Amiri jeshi mkuu. Wasiomtambua wanakuwa tayari wapo msituni hata kama wanaishi kariakoo. Sasa askari wakishaingia mstuni ni hatari sana kwa raia