Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 6,640
- 10,726
Hakuna gharika na wala hakuna safina.
Madame hebu nifafanulie hizi aya kuhusiana na Noah(Nuh)
Quran 11:36-37
Quran 11:40
Tofauti kubwa ninayo iona ni kwamba Quran haijataja mafuriko kama ni ya dunia nzima
Ila imetaja mafuriko kutokea, imeeleza kuhusu safina(Ark) na imefafanua kuhusu wanyama kuingia