BUBERWA D.
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 2,293
- 1,170
Kimejifunza kwa CHADEMA mwaka 2015.Safi sana nafasi zipo wazi sio kama chama "FURANI" kimechapisha form moja ya kugombea nafasi ya "VYOMBO VYA DOLA".
Kimejifunza kwa CHADEMA mwaka 2015.Safi sana nafasi zipo wazi sio kama chama "FURANI" kimechapisha form moja ya kugombea nafasi ya "VYOMBO VYA DOLA".
Yaani wewe mnuka jasho kapuku ndio wa kunielewesha mambo ya Chadema ! 😆😆😆Ungekuwa unajua Lugha ya sheria; Mpango maana yake ni UTARATIBU, sasa iweje wawe na mpango ila wasiwe na Utaratibu?
nafikiri uache kujikanyaga kwani unajibu hoja usiyoifahamu
Hapana mkuu usipoenda kupiga watakuwa wameshinda kihalali, acha tukapige wasitangaze na wao wajue hajashindaNaona wanapotezeana muda.
Kwa tume hii ya chato?
Labda wanafaidika na ruzuku kila hakuna tume itakayotangaza matokeo ya kweli.
MTU mwnye akili zake hawezi kupoteza muda kwend kupiga kura ambazo tume ya chato ina matokeo tayari. Ni kupotezean mud na kupigiana makelele
Changes usually happens in a blink of an eye! Don't give up we never know what is gonna happen tomorrow!!Naona wanapotezeana muda.
Kwa tume hii ya chato?
Labda wanafaidika na ruzuku kila hakuna tume itakayotangaza matokeo ya kweli.
MTU mwnye akili zake hawezi kupoteza muda kwend kupiga kura ambazo tume ya chato ina matokeo tayari. Ni kupotezean mud na kupigiana makelele
Ukawa walikaa mezani na kumteua mtu mmoja mwenye nguvu ya kumgalagaza "MTU FURANI" na kwa kipindi kile ENL ndio alikuwa MTAJI na matokeo yake tumeyaona,hadi sasa Msajili hataki kusikia kitu kinachoitwa ukawa,wametunga hadi sheria kuzuia muungano wa vyama!Kimejifunza kwa CHADEMA mwaka 2015.
Ni kipi bora mkuu 'Saint Ivuga'Naona wanapotezeana muda.
Kwa tume hii ya chato?
Labda wanafaidika na ruzuku kila hakuna tume itakayotangaza matokeo ya kweli.
MTU mwnye akili zake hawezi kupoteza muda kwend kupiga kura ambazo tume ya chato ina matokeo tayari. Ni kupotezean mud na kupigiana makelele
A very pertinent message at this time. I hope he will understand it.Changes usually happens in a blink of an eye! Don't give up we never know what is gonna happen tomorrow!!
Kwa ufupi tu CHADEMA kuna utaratibu wa kutia nia kwa aina mbili;Ungekuwa unajua Lugha ya sheria; Mpango maana yake ni UTARATIBU, sasa iweje wawe na mpango ila wasiwe na Utaratibu?
nafikiri uache kujikanyaga kwani unajibu hoja usiyoifahamu
"watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa!"Yaani wewe mnuka jasho kapuku ndio wa kunielewesha mambo ya Chadema ! 😆😆😆
Shukrani sana mkuu
Mbona unaitaja Sasa, kama chakavu mbna mnawazuia wasifanye mikutano???Chama chakavu kinajitutumua
Mbona unaitaja Sasa, kama chakavu mbna mnawazuia wasifanye mikutano???
Ova
Cdm zimetayarishwa form za urais za kutosha maana kwetu kila mtu mwenye sifa ana haki ya kugombea
Mbona Makene ana ubaguzi kwa vyombo vingine vya habari?