Finder boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 608
- 150
habari wanajamvi. Naomba mnielekeze namna ya kupata hati miliki ya nyumba na kiwanja. Tunaishi katika nyumba na kiwanja tulichoachiwa na marehemu baba yetu. Nategemea ushauri na msaada wenu. ASANTENI.