HUGO CHAVES
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 2,045
- 547
Hapo blue sipo aware ila nahisi hati za kimila kama zipo applicable vijijini vile? upimaji shirikishi ni kuji-organize watu wote wenye majengo katika eneo husika na kuwafuatilia hawa watu ardhi nadhani kwa Kinyerezi itakuwa Ilala kama sijakosea au wizaeani kabisa maana kwa Dar even watu wa wizarani nao wanajihusisha na hii kitu. Sidhani kama kuna idadi maalumu kikubwa hata kama mpo kumi na kuendelea mnaweza kuanzisha move wengine watafuata
mkuu ahsante kwa majibu yaliyonyooka ,kuna hawa jamaa ni mawakala wa kusurvey wamemuwekea jirani yangu beacon huku hana hati pesa wamechukua laki 7 hii imekaaje mkuu