Wapendwa wana JF,
Wapalelezi, makanda wa polisi wilaya, mikoa, na maofisi wengi wa jeshi la polisi wanaongoza kwa utajiri, utajiri wao unatokana na kazi ya kulinda uhalifu nchini,umefika muda wa kufanyaia uchunguzi na kuchua vyazo vya mali nyingi wanazomiliki makamanda wa vyombo vya dola kama TAKUKURU, JWTZ, JKT.
Viongozi wengi wa vyombo vya dola kuwa na utajiri wenye mashaka ndio msingi wa kulinda uovu na kugeuka kuwa mawakala wa CCM. Je, nini kifanyike?
Wapalelezi, makanda wa polisi wilaya, mikoa, na maofisi wengi wa jeshi la polisi wanaongoza kwa utajiri, utajiri wao unatokana na kazi ya kulinda uhalifu nchini,umefika muda wa kufanyaia uchunguzi na kuchua vyazo vya mali nyingi wanazomiliki makamanda wa vyombo vya dola kama TAKUKURU, JWTZ, JKT.
Viongozi wengi wa vyombo vya dola kuwa na utajiri wenye mashaka ndio msingi wa kulinda uovu na kugeuka kuwa mawakala wa CCM. Je, nini kifanyike?