happiness win
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 2,461
- 1,384
Hiyo ni dalili nzuri ya wivu wa kike, fanya kazi kwa bidii upate fedha, usitumie vibaya muda wako kutafuta utajiri wa mtu. Fanya yako.
Kwa kujifanya hamfatilii ya watu ndio maana watanzania mnaibiwa hata Twiga kwenye mbuga zenu nanyi mnabaki kutumbua macho tuuuu. Katika hali ya kawaida si vibaya mtu kuhoji kwa kuwa maisha yetu yanaonekana na kipato chetu kinajulikana sasa iweje mtu aibuke ghafla tu na watu tusihoji? safi Uda una kila sababu ya kuelewa na kujifunza ikibidi. Mambo yameshageuka sasa, lazima tuhojiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
Last edited by a moderator: