Uda
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 811
- 624
Kama na wewe ni msomi basi TZ ina safari ndefu. Hivi unakumbuka alilipwa sh ngapi wakati anatua Yanga plus mshahara, then akarudi Simba akalipwa sh ngapi plus mshahara na bonus! Usikimbilie kwenye hitimisho jaribu kushirikisha akili yako kuchanganua mambo.Naam, katika nchi zenye watu wenye akili, ni lazima kufahamu matajiri wanapataje fedha zaoh. Ndio njia nyepesi ya kupambana na biashara haramu na pesa chafu kama za madawa ya kulevya. Mtu yeyote aliye-clean hahitaji kuwa defensive bali atakuwa na shauku ya kuthibitisha amepataje mali zake. Vita vya biashara chafu havipiganwi kwa akaunti za Uswisi bali huanzia hapa hapa nyumbani. Tusiwe wavivu wa kufikiri ili kuliokoa taifa, tuache majibu ya kijinga kama haya. Tanzania inanuka huko nchi za nje, inahitaji overhaul. Halafu wapuuzi wachache wanaleta mipasho eti wivu wa kike, itakusaidia maishani n.k. Mpaka siku utakapoona mwanao ni teja ndipo utakaposhika adabu yako.
Tanzania inasifika kwa black money, huku watanzania wakisifia ujinga. Aibu hii itatukaa mpaka tutakapojua ni nini tunapaswa kufanya.
Huyu mkaka ni mwanakandanda tajiri kuliko unamvyomdhania.Je utajiri huu kaupatia kwenye soka tu au kuna siri nyuma ya pazia?
Kila goli moja akiachia katika mechi na yanga ... manji anatoa nyumba
Anamshinda mtoto wa huyo aliyenyoosha mkono?Huyu mkaka ni mwanakandanda tajiri kuliko unamvyomdhania.Je utajiri huu kaupatia kwenye soka tu au kuna siri nyuma ya pazia?
Kwangu mi namheshimu hata anayeuza unga kwa sababu anatumia akili asikamatwe na aingize fedha, kuliko anayetumia akili yake kutafuta kujua utajiri wa mtu.
Hakuna wivu wa kike hapo huyo jamaa anataka kujua kama Kaseja kuwa na nyumba, Kimara Bonyokwa, Mbezi Temboni, na Mikocheni tena zote za kifahari ambazo zimejengwa kwa zaidi ya milioni 70 kama kweli ni hela anayoipata kudakia Simba tu.Plus juzi alikuwa nabirthday sijui sherehe gani nyumbani kwake Mbezi Temboni alitumia kama milioni 50 kweli zinapatikana kuwa nyanda tu wa Simba? Yaisje yakawa ya akina Masanja Mkandamizaji hapa
sembe!!huyu mkaka ni mwanakandanda tajiri kuliko unamvyomdhania.je utajiri huu kaupatia kwenye soka tu au kuna siri nyuma ya pazia?
kacheze mpira na wewe, ukishindwa kuna rede piamie nataka kujifunza toka kwake
kwakuanzia tunaomba na wewe uje utuwekee list ya unavyomiliki then tutauliza na wengineKama Utajiri wake hauna shaka kwanini ufichwee? Kwenye hii Vita ya sembe ni lazima kila mwenye mafanikio makubwa kifedha yawe Questionable......!!
Unamtoto? Maana akili zako nazo kama za mtoto!Hopeless kabisa. Unaona ni sawa watu watajirike kwa kutuharibia watoto? Naona kama una roho ya Ibilisi.
Sent from my BlackBerry 9860 using
JamiiForums
Kama na wewe ni msomi basi TZ ina safari ndefu. Hivi unakumbuka alilipwa sh ngapi wakati anatua Yanga plus mshahara, then akarudi Simba akalipwa sh ngapi plus mshahara na bonus! Usikimbilie kwenye hitimisho jaribu kushirikisha akili yako kuchanganua mambo.
Uda! Udaku huyo jamaa ana midaladala kibao hapa mujini mpira ilikua ni ajira ya ziada upo hapo?