Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Hiyo ni dalili nzuri ya wivu wa kike, fanya kazi kwa bidii upate fedha, usitumie vibaya muda wako kutafuta utajiri wa mtu. Fanya yako.
Ni muhim na lazima kuwatilia shaka wanamuziki na wanamichezo wa hapa kwetu tz kwani wamekuwa makotena ya sembe now days