Michelle Hilton
Senior Member
- Jun 26, 2011
- 141
- 15
Nawaomba wanacdm mkamuulize m.kiti wenu vizuuur juu ya upatikanaji wa mali anazomiliki!!msijifanye kusafisha tu nje kumbe ndani Kuwa uozo
Hajawahi kuwa serikalini na hajawahi kukawa
na bishara ya magendo au kukwepa kodi
Hujaenda kikokotozi zaidi!....Unataka watu wahoji upatikanaji, kivipi?...Zipatikane ili iweje?..Unazitaka?...my hairs!Nawaomba wanacdm mkamuulize m.kiti wenu vizuuur juu ya upatikanaji wa mali anazomiliki!!msijifanye kusafisha tu nje kumbe ndani Kuwa uozo
basi alikwiba na Dr dauWala hajawahi kukwiba pesa za NSSF
Nawaomba wanacdm mkamuulize m.kiti wenu vizuuur juu ya upatikanaji wa mali anazomiliki!!msijifanye kusafisha tu nje kumbe ndani Kuwa uozo
Taarifa za mali na madeni ya Mbowe, kama ilivyo kwa wabunge wengine, iko kwenye Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma! Kama una shaka na mali zake ukaiulize hiyo Tume!Nawaomba wanacdm mkamuulize m.kiti wenu vizuuur juu ya upatikanaji wa mali anazomiliki!!msijifanye kusafisha tu nje kumbe ndani Kuwa uozo
Nawaomba wanacdm mkamuulize m.kiti wenu vizuuur juu ya upatikanaji wa mali anazomiliki!!msijifanye kusafisha tu nje kumbe ndani Kuwa uozo
Hujaenda kikokotozi zaidi!....Unataka watu wahoji upatikanaji, kivipi?...Zipatikane ili iweje?..Unazitaka?...my hairs!
Ungeanza na kutaja baadhi ya mali zake unazoziona ni za hatari, huenda ungewavutia baadhi ya wachangiaji!
Wewe sema una haja ya kujua Mbowe anamiliki nini....basi!
Acha utoto bana!
Umemjibtu vyema.Sasa akakue halafu arudi mwakani.Kenge dume!Hujaenda kikokotozi zaidi!....Unataka watu wahoji upatikanaji, kivipi?...Zipatikane ili iweje?..Unazitaka?...my hairs!Ungeanza na kutaja baadhi ya mali zake unazoziona ni za hatari, huenda ungewavutia baadhi ya wachangiaji!Wewe sema una haja ya kujua Mbowe anamiliki nini....basi!Acha utoto bana!
Tungeanza na mkuu wa nchi na familia yake ingekuwa vizuri zaidi!!!Nawaomba wanacdm mkamuulize m.kiti wenu vizuuur juu ya upatikanaji wa mali anazomiliki!!msijifanye kusafisha tu nje kumbe ndani Kuwa uozo
hivi ukikopa unahesabika mwizi siku hizi?Wala hajawahi kukwiba pesa za NSSF
wewe huwa hatuhoji madhambi ya mitume.
Tujuze mkuu kama una taarifa zozote kuhusiana na hili jambo!!kuwa muwazi acha kutupa nahau na misamiati,huu ni wakati wa uwazi!!Wala hajawahi kukwiba pesa za NSSF
basi alikwiba na Dr dau
O.k kumbe alikopo!kama ni hivyo sioni tatizo lipo wapi!labda kuwe na jingine lililojificha,tusubili majibu ya Mr Nduka!!!hivi ukikopa unahesabika mwizi siku hizi?