Utajiri wa Freeman Mbowe

Nawaomba wanacdm mkamuulize m.kiti wenu vizuuur juu ya upatikanaji wa mali anazomiliki!!msijifanye kusafisha tu nje kumbe ndani Kuwa uozo
Hujaenda kikokotozi zaidi!....Unataka watu wahoji upatikanaji, kivipi?...Zipatikane ili iweje?..Unazitaka?...my hairs!
Ungeanza na kutaja baadhi ya mali zake unazoziona ni za hatari, huenda ungewavutia baadhi ya wachangiaji!
Wewe sema una haja ya kujua Mbowe anamiliki nini....basi!
Acha utoto bana!
 
Nawaomba wanacdm mkamuulize m.kiti wenu vizuuur juu ya upatikanaji wa mali anazomiliki!!msijifanye kusafisha tu nje kumbe ndani Kuwa uozo

Mali ni yake usilete roho korosho ya CCM. Mbona hamtuelezi SUKITA iliishia wapi?
Join Date : 26th June 2011
Posts : 23
Thanks0Thanked 0 Times in 0 Posts

Rep Power : 0

NAONA UMEANZA KAZI YA NEPI/NAPE leo.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Huna hoja ya msingi baba yake alikuwa na mashamba mengi ya ngano na shayiri tangu kabla ya uhuru, ukoo wao ni wa kitajiri so ameendeleza mali. una dukuduku jingine?
Nawaomba wanacdm mkamuulize m.kiti wenu vizuuur juu ya upatikanaji wa mali anazomiliki!!msijifanye kusafisha tu nje kumbe ndani Kuwa uozo
 
Hujaenda kikokotozi zaidi!....Unataka watu wahoji upatikanaji, kivipi?...Zipatikane ili iweje?..Unazitaka?...my hairs!
Ungeanza na kutaja baadhi ya mali zake unazoziona ni za hatari, huenda ungewavutia baadhi ya wachangiaji!
Wewe sema una haja ya kujua Mbowe anamiliki nini....basi!
Acha utoto bana!

Akikuwa atajua kujenga hoja sasa hivi anakurupuka kama MS.
 
Ni kweli zake yeye za kurithi na anazifanyia kazi, hajawa kwenye system ya posho za vikao na wahiriki hewa. Ridhiwani mali katoa wapi?
 
Hujaenda kikokotozi zaidi!....Unataka watu wahoji upatikanaji, kivipi?...Zipatikane ili iweje?..Unazitaka?...my hairs!Ungeanza na kutaja baadhi ya mali zake unazoziona ni za hatari, huenda ungewavutia baadhi ya wachangiaji!Wewe sema una haja ya kujua Mbowe anamiliki nini....basi!Acha utoto bana!
Umemjibtu vyema.Sasa akakue halafu arudi mwakani.Kenge dume!
 
Back
Top Bottom