sizitaki mbivu hizi
thethetheth!! wazuri wa vidole!Wazuri wa nini?
Kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake hata kama ni pumba.
Mtoa mada unaonekana uwezo wako wa kujieleza ni mdogo mmmmno!
Kwa mwanaume mwenye kujua uthamani wa mwenza kuna vitu vingi vinavyochunguzwa kwa mwanamke kabla hujamuoa. Suala la uzuri unaouongelea sijui ni uzuri upi huo. Wanadamu tonatofautiana katika kuthamini uzuri wa nje wa mwanamke.
Kuna wanaopenda wanawake:-
weusi, wembamba,
weusi, wanene
weupe wembamba,
weupe wanene,
Virema n.k
Ukimuoji kila mtu ana sababu zake zinazomfanya apende aina fulani.
Asante kwa kunipeleka enzi za mwalimu.Nakubaliana na wewe kabisa lakini nahisi kama unaishi dunia ya wale watu wa zamani so nakubaliana wewe kwa mtazamo wako wa kizamani ila ishi leo na leo dunia haiko hivyo unavyoifikiria
Sababu kubwa kabisa ni kuogopa pressure zitakazoletwa na hisia za mkewe kutakwa na wanaume wengi hivyo kutokuwa na uhakika wa mwanamke huyo kuwa wake peke yake.
Nakubaliana na wewe bibi.com, lakini umeongelea upande mmoja na huu niliousema mimi ni upande wa pili wa shilingikwa experience yangu mwanaume akiwa a wife mzuri anakuwa confidence kumtambulisha akiwa mbaya webgine hata kuongozana nao hawataki
Ntakupa ka mfano fulani hivi ka ukweli bila kujibu swali lako direct,
Mwanamke anapopita wanaume huanza kumwangalia usoni, kisha hushuka kifuani na anapompita humwangalia chini ya kiuno na kisha miguuni............. hizo ndizo sehemu ambazo wanaume huwaangalia wanawake na ndipo ninapopaongelea mimi