UTAFITI: Kulala chini ya Saa 6 kunaweza kuongeza hatari ya kupata Saratani na Kifo

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,118
1710399317215.png

Kwa mujibu wa Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Moyo ya Marekani (Heart.Org) kwa Watu wenye miaka kati ya 20 hadi 70 umeonesha Watu wasiopata muda mrefu wa Kulala Usingizi kwa zaidi ya Saa 7 kila siku wanakuwa hatarini kupata Saratani au Kifo cha Ghafla.

Utafiti huo uliochapishwa kupitia Journal of the American Heart Association (JAHA) umebaini Watu wenye matatizo yoyote yanayohusisha Magonjwa ya Moyo na Mishipa ya Ubongo (CBVDs) wako hatarini zaidi Kupoteza Maisha endapo watakuwa hawalali vizuri.

Aidha, imeelezwa kuwa Usingizi ni moja kati ya Tiba Bora za Mwili zinazofanya kazi wakati Mtu amelala kwa kurekebisha maeneo yenye shida, hivyo Mtu asiyelala angalau kwa Saa 7 au 8, anapunguza ufanisi wa Mwili kujitibu ambapo madhara yake huongezeka kadri Mtu anapokosa Usingizi wa kutosha.

===========

Purpose: Insomnia, parasomnia, and obstructive sleep apnea have been associated with a number of disease pathologies, but little is known about the relationship of these sleep disorders and cancer. The study explored the risk of sleep disorder (SD)-induced cancer using nationwide population data. Two million data from the National Health Insurance system of Taiwan was used to assess for the relationship.

Patients and Methods: Patients with cancer as our cases and patients without cancer as our control group in 2001-20011. The study patients were traced back to seek the exposure risk factor of sleep disorders, which was divided into three categories: insomnia, obstructive sleep apnea (OSA) and parasomnia. Patients were selected excluding patients who had cancer prior to presenting with the sleep disorder and the person-year is less than 2 years. Each case was randomly matched with two cases with the same age, gender, and index year.

Results: There were significantly increased risks of breast cancer in the patients with insomnia (AHR=1.73; 95% CI: 1.57-1.90), patients with parasomnia (AHR=2.76; 95% CI: 1.53-5.00), and patients with OSA (AHR=2.10; 95% CI: 1.16-3.80). Moreover, patients with parasomnia had significantly higher risk of developing oral cancer (AHR=2.71; 95% CI: 1.02-7.24) compared with patients without parasomnia. The risk of suffering from nasal cancer (AHR=5.96, 95% CI: 2.96-11.99) and prostate cancer (AHR=3.69, 95% CI: 1.98- 6.89) in patients with OSA was significantly higher than that of patients without OSA.

Conclusions: Our findings provided the evidence that people diagnosed with insomnia, parasomnia and OSA are at a higher risk of developing cancers to remind people to improve sleep quality.

Not getting enough sleep may put some people at risk for much more than being drowsy the next day, a new study says.

Middle-aged people with high blood pressure, Type 2 diabetes, heart disease or stroke could be at increased risk for cancer and early death if they get less than six hours of sleep a night, researchers reported Wednesday in the Journal of the American Heart Association.

Specifically, those with high blood pressure or diabetes who slept less than six hours had twice the risk of dying from heart disease or stroke compared with people who slept six or more hours. Sleep-deprived people with a history of heart disease or stroke had three times the increased risk of dying from cancer during the study that spanned three decades.

"Our study suggests that achieving normal sleep may be protective for some people with these health conditions and risks," the study's lead author Julio Fernandez-Mendoza said in a news release. He's an associate professor at Pennsylvania State College of Medicine and sleep psychologist at Penn State Health Milton S. Hershey Medical Center in Hershey.

But more research will be needed to determine whether increasing sleep through medical or behavioral therapies could reduce risk of early death, Fernandez-Mendoza said.

The study looked at more than 1,600 adults who were categorized into two groups. One had stage 2 high blood pressure or Type 2 diabetes. The other had heart disease or stroke.

Participants were studied in a sleep lab for one night between 1991 and 1998. Researchers then tracked their cause of death up to the end of 2016. In that period, 512 people died — one-third of them from heart disease or stroke and one-fourth from cancer.

Fernandez-Mendoza said better identification of people with specific sleep issues would potentially lead to better treatment.

"Short sleep duration should be included as a useful risk factor to predict the long-term outcomes of people with these health conditions," he said.

If you have questions or comments about this story, please email editor@heart.org.
 

Attachments

  • Interplay of Objective Sleep Duration and Cardiovascular and Cerebrovascular Diseases on Cause...pdf
    1.4 MB · Views: 2
View attachment 2934129
Kwa mujibu wa Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Moyo ya Marekani (Heart.Org) kwa Watu wenye miaka kati ya 20 hadi 70 umeonesha Watu wasiopata muda mrefu wa Kulala Usingizi kwa zaidi ya Saa 7 kila siku wanakuwa hatarini kupata Saratani au Kifo cha Ghafla.

Utafiti huo uliochapishwa kupitia Journal of the American Heart Association (JAHA) umebaini Watu wenye matatizo yoyote yanayohusisha Magonjwa ya Moyo na Mishipa ya Ubongo (CBVDs) wako hatarini zaidi Kupoteza Maisha endapo watakuwa hawalali vizuri.

Aidha, imeelezwa kuwa Usingizi ni moja kati ya Tiba Bora za Mwili zinazofanya kazi wakati Mtu amelala kwa kurekebisha maeneo yenye shida, hivyo Mtu asiyelala angalau kwa Saa 7 au 8, anapunguza ufanisi wa Mwili kujitibu ambapo madhara yake huongezeka kadri Mtu anapokosa Usingizi wa kutosha.

===========

Purpose: Insomnia, parasomnia, and obstructive sleep apnea have been associated with a number of disease pathologies, but little is known about the relationship of these sleep disorders and cancer. The study explored the risk of sleep disorder (SD)-induced cancer using nationwide population data. Two million data from the National Health Insurance system of Taiwan was used to assess for the relationship.

Patients and Methods: Patients with cancer as our cases and patients without cancer as our control group in 2001-20011. The study patients were traced back to seek the exposure risk factor of sleep disorders, which was divided into three categories: insomnia, obstructive sleep apnea (OSA) and parasomnia. Patients were selected excluding patients who had cancer prior to presenting with the sleep disorder and the person-year is less than 2 years. Each case was randomly matched with two cases with the same age, gender, and index year.

Results: There were significantly increased risks of breast cancer in the patients with insomnia (AHR=1.73; 95% CI: 1.57-1.90), patients with parasomnia (AHR=2.76; 95% CI: 1.53-5.00), and patients with OSA (AHR=2.10; 95% CI: 1.16-3.80). Moreover, patients with parasomnia had significantly higher risk of developing oral cancer (AHR=2.71; 95% CI: 1.02-7.24) compared with patients without parasomnia. The risk of suffering from nasal cancer (AHR=5.96, 95% CI: 2.96-11.99) and prostate cancer (AHR=3.69, 95% CI: 1.98- 6.89) in patients with OSA was significantly higher than that of patients without OSA.

Conclusions: Our findings provided the evidence that people diagnosed with insomnia, parasomnia and OSA are at a higher risk of developing cancers to remind people to improve sleep quality.

Not getting enough sleep may put some people at risk for much more than being drowsy the next day, a new study says.

Middle-aged people with high blood pressure, Type 2 diabetes, heart disease or stroke could be at increased risk for cancer and early death if they get less than six hours of sleep a night, researchers reported Wednesday in the Journal of the American Heart Association.

Specifically, those with high blood pressure or diabetes who slept less than six hours had twice the risk of dying from heart disease or stroke compared with people who slept six or more hours. Sleep-deprived people with a history of heart disease or stroke had three times the increased risk of dying from cancer during the study that spanned three decades.

"Our study suggests that achieving normal sleep may be protective for some people with these health conditions and risks," the study's lead author Julio Fernandez-Mendoza said in a news release. He's an associate professor at Pennsylvania State College of Medicine and sleep psychologist at Penn State Health Milton S. Hershey Medical Center in Hershey.

But more research will be needed to determine whether increasing sleep through medical or behavioral therapies could reduce risk of early death, Fernandez-Mendoza said.

The study looked at more than 1,600 adults who were categorized into two groups. One had stage 2 high blood pressure or Type 2 diabetes. The other had heart disease or stroke.

Participants were studied in a sleep lab for one night between 1991 and 1998. Researchers then tracked their cause of death up to the end of 2016. In that period, 512 people died — one-third of them from heart disease or stroke and one-fourth from cancer.

Fernandez-Mendoza said better identification of people with specific sleep issues would potentially lead to better treatment.

"Short sleep duration should be included as a useful risk factor to predict the long-term outcomes of people with these health conditions," he said.

If you have questions or comments about this story, please email editor@heart.org.

Utafiti umefanyika vizuri, ila inabidi wakati mwingine tuwe makini na kuconclude hizi findings zetu, ni vizuri tuwe tunajiuliza maswali magumu kama hizo significant differences au associationtulizoona are they real? or just statistical association baada ya kuchakata data. Research za kisasa baada ya findings lazima waeleze mechanism (causal association) nikimaanisha pathophysiology behind the association or attribution kibiologia, kiphysiologia, kibehaviour au kipathologia.

Najaribu kuthink in a layman perspectives, namna kutokulala masaa zaidi ya 7 kunavyoweza kusababisha kupata kansa ya matiti n.k, kama ndivyo basi ningejikita zaidi na magonjwa ya akili, au kichwa kuuma sana, inflamation ya ubongo, hata kansa ya ubongo etc , kidogo kuna relationship. Nasema hivyo kwa nini, majority tunafaham kansa inadevelop vipi,sasa nikihusisha pathophysiology ya cancer development na kutopata usingizi hapo ndipo nachoka kabisa. Yes inawezekana husipolala masaa tajwa unaweza kutoa specific hormones, (vichocheo), vichocheo hatarishi au kwa kiwango cha kuhatarisha cell za mwili, sasa swali linakuja kwa nini specific part of the body ndiyo inaathirika; kama ilivyoelezwa hapo ;matiti etc.

Nashauri baada ya kupata association/ rerationship from statistical analysis kwenye studies zetu, researcher wanatakiwa watoe angalau a simple explanation behind the attribution/association hiyo kiphysiologia , kibehaviour, kipathologia etc ili msomaji aweze kulink the two. Kwa wale watafiti wanaweza kunielewa viziuri.
 
Niliambiwa na rafiki mtalamu wa afya kutoka Ujerumani kuwa mawazo ndio chanzo kikuu cha saratani.

Nikauliza Kivipi?, akanieleza kuwa, mawazo husababisha hitilafu za uundwaji wa tishu mbali mbali ambazo baadae hugeuka kuwa tatizo mwishowe saratani.

Alinieleza mambo mengi sana juu ya saratani, ila muhimu lilikuwa hili la chanzo kilichonishangaza na mimi.

Mimi sio mtaalamu wa afya ila nilishawishika kiasi na huo itafiti wao.
 
Niliambiwa na rafiki mtalamu wa afya kutoka Ujerumani kuwa mawazo ndio chanzo kikuu cha saratani.

Nikauliza Kivipi?, akanieleza kuwa, mawazo husababisha hitilafu za uundwaji wa tishu mbali mbali ambazo baadae hugeuka kuwa tatizo mwishowe saratani.

Alinieleza mambo mengi sana juu ya saratani, ila muhimu lilikuwa hili la chanzo kilichonishangaza na mimi.

Mimi sio mtaalamu wa afya ila nilishawishika kiasi na huo itafiti wao.
Hii ni kweli 99.999% vingine ni 0.1% nakubaliana na huyo rafiki yako.

Na mawazo ndio yanasababisha mtu kukosa usingizi
 
Back
Top Bottom