cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
jamani wewe shosti acha kuwa kinganganizi,
mwenzio ana mke unamfeel kitu gani,
kumbe jf kuna wadada vimeo eeh.
Na nyie wakaka mlioa muache kutoa toa hovyo namba zenu.
okay umeuliza utamfanya nini?
mtishie kuwa asipokoma utaweka namba yake ya simu hapa ili watu wanaomjua huko mitaani wajue kuwa yeye ni kinganganizi cha waume za watu.
Ila mtishie tu lkn usiiweke maana ukiiweka hapa namba yake na yeye akiiweka yako sijui utambeba mkeo kwa mbeleko gani.
ila kwa kiasi fulani umeyataka mwenyewe,
wewe kama umeoa kwa nin usiwe makini.
kwani urafiki wa pm hautoshi hadi mpeane namba,
halafu nahisi mmefikishana mbali sasa mwenzio kanogewa ndo unamwambia una mke.
hebu tuambie ukweli tujue jinsi ya kukusaidia,
hamjasex nyie?
kweli mtu urafiki wa kawaida tu ndio apagawe hivyo!
mwenzio ana mke unamfeel kitu gani,
kumbe jf kuna wadada vimeo eeh.
Na nyie wakaka mlioa muache kutoa toa hovyo namba zenu.
okay umeuliza utamfanya nini?
mtishie kuwa asipokoma utaweka namba yake ya simu hapa ili watu wanaomjua huko mitaani wajue kuwa yeye ni kinganganizi cha waume za watu.
Ila mtishie tu lkn usiiweke maana ukiiweka hapa namba yake na yeye akiiweka yako sijui utambeba mkeo kwa mbeleko gani.
ila kwa kiasi fulani umeyataka mwenyewe,
wewe kama umeoa kwa nin usiwe makini.
kwani urafiki wa pm hautoshi hadi mpeane namba,
halafu nahisi mmefikishana mbali sasa mwenzio kanogewa ndo unamwambia una mke.
hebu tuambie ukweli tujue jinsi ya kukusaidia,
hamjasex nyie?
kweli mtu urafiki wa kawaida tu ndio apagawe hivyo!