Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,817
- 4,566
Salaam ndugu zangu,
Katika harakati zetu za maisha tunakutana na tunafanya mambo mengi sana. Kuna baadhi ya matukio tunayoyafanya tunatamani yajulikane na mengine tunatamani yabaki kuwa siri.
Kutokana na kukua kwa teknolojia kwa sasa ni rahisi baadhi ya matukio yetu ya faragha kunaswa kwenye vifaa vya kidijitaji au taarifa zetu za siri kuvuja na kuenea mitandaoni.
Katika jamii yetu tumeshuhudia sisi wenyewe au watu wetu wa karibu wakiwa wahanga wa siri au taarifa zao za aibu kuvuja mtandaoni. Baadhi ya ndugu zetu au watu mashuhuri walichukua maamuzi magumu ya kujitenga na jamii zao au kujitoa uhai wakidhani ndiyo suluhu la tatizo hilo.
Je, ushawahi jiuliza utachukua uamuzi gani ikitokea umekutana na picha, video au taarifa zako za aibu zimesambaa mtandaoni?
Karibu tujadili
Katika harakati zetu za maisha tunakutana na tunafanya mambo mengi sana. Kuna baadhi ya matukio tunayoyafanya tunatamani yajulikane na mengine tunatamani yabaki kuwa siri.
Kutokana na kukua kwa teknolojia kwa sasa ni rahisi baadhi ya matukio yetu ya faragha kunaswa kwenye vifaa vya kidijitaji au taarifa zetu za siri kuvuja na kuenea mitandaoni.
Katika jamii yetu tumeshuhudia sisi wenyewe au watu wetu wa karibu wakiwa wahanga wa siri au taarifa zao za aibu kuvuja mtandaoni. Baadhi ya ndugu zetu au watu mashuhuri walichukua maamuzi magumu ya kujitenga na jamii zao au kujitoa uhai wakidhani ndiyo suluhu la tatizo hilo.
Je, ushawahi jiuliza utachukua uamuzi gani ikitokea umekutana na picha, video au taarifa zako za aibu zimesambaa mtandaoni?
Karibu tujadili