Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
mchungaji maarufu dunia joshua ameonyeshwa kwenye maono yake uhuni wa nec na haya ni maneno yake:there is a country in east africa,it has election this year,the opposition willwin but it wont rule,bring the flag of that country so that we pray for it,
my take here:ccm we want peace,tazama hata watumishi wa mungu wanaonyeshwa juu ya anguko lako,
Huko ndiko anakotupeleka Kikwete.
Wahafanya kampeni misikitini. Wakitoka nje wanakemea udini.
Wengine wanathubutu kusema Kama si Kikwete basi ni Lipumba. Matamshi ya namna hii yana ujumbe ndani yake ambao ni mjinga tu anaweza shindwa kuelewa.
Dr. Slaa for Life!!!!