Ustaadh
JF-Expert Member
- Oct 25, 2009
- 413
- 19
Mchungaji maarufu dunia Joshua ameonyeshwa kwenye maono yake uhuni wa NEC na haya ni maneno yake:
There is a country in East Africa, it has election this year,the opposition willwin but it wont rule, bring the flag of that country so that we pray for it!
My take here:
CCM we want peace, tazama hata watumishi wa mungu wanaonyeshwa juu ya anguko lako,
Hili halihitaji utabiri - mbona liko wazi? Hivi mnategemea nini wakati hatuna tume huru ya uchaguzi na katiba inasema wazi kuwa ikishatangaza mshindi hakuna mahakama yoyote inayoweza kuhoji? Watu acheni kuwa vipofu!