Nitabaki Tomaso mwenye mashaka juu ya unabii huu.
Je lini ujumbe unaitwa unabii? Haiwezekani pale mchakato unapoanza. Hii inayoitwa unabii ni matarajio ya watanzania wengi hata wa kijijini. Huhitaji ushahidi kwa hili unatazama mwenendo wa mchakato mzima na jinsi serikali inavyoeendeshwa, kauli mbiu na unahisi kuwa kama hawa wanasema ushindi ni lazima na wengine hawadanganyiki matokeo nini?. Kama ingekuwa unabii yaneshasemwa mwaka kabla.
Je unajimu ni nini? na unatofauti gani na unabii? Kwa leo hapa Tanzania yote ni kama sawa.
Kinachonisikitisha sana tamaa ni jinsi tunavyoweza kudanganyika kwa urahisi na kuamini super natural powers. Hii imetumika sana kuwadanganya watu wengi na kuwatawala. Hii hutumika kuhasi akili za watu, ili kuwanyima udadisi na kufikiri bali kuamini juu ya nguvu hizi zisizoonekana. Mifano ni mingi sana lakini yatosha kueleza jinsi Shekh Yahaya alivyotumika hapa Afrika ya mashariki katika utekelezaji wa mbinu a kijasusi ambapo yeye alitumika kuwa tayarisha watu kiakili na kutoa jibu la haraka kwa tatizo kubwa. Albino wanavyouawa nk
Wakati sisi tunabaki hapo wenzetu hujifunza tabia zetu na kutupa yale tunayopenda na kuamini. Mifano ni uenyekiti mwenza wa BWM juu ya globalisation na kumpa sifa kemkem. Nani asiye jua tabia yake ya kupenda kusifiwa na kuona maadui wanaomtahadharisha? Waliofanya hivyo walifaidi na kumwingiza mzee wa watu bikira wa rushwa katika umalaya wa rushwa.
Je tutajikomboa na hil?
Imani kama dini iliisha itwa opium of the people na communist kwa vile iliwafanya watu wasifikiri.
Je lini ujumbe unaitwa unabii? Haiwezekani pale mchakato unapoanza. Hii inayoitwa unabii ni matarajio ya watanzania wengi hata wa kijijini. Huhitaji ushahidi kwa hili unatazama mwenendo wa mchakato mzima na jinsi serikali inavyoeendeshwa, kauli mbiu na unahisi kuwa kama hawa wanasema ushindi ni lazima na wengine hawadanganyiki matokeo nini?. Kama ingekuwa unabii yaneshasemwa mwaka kabla.
Je unajimu ni nini? na unatofauti gani na unabii? Kwa leo hapa Tanzania yote ni kama sawa.
Kinachonisikitisha sana tamaa ni jinsi tunavyoweza kudanganyika kwa urahisi na kuamini super natural powers. Hii imetumika sana kuwadanganya watu wengi na kuwatawala. Hii hutumika kuhasi akili za watu, ili kuwanyima udadisi na kufikiri bali kuamini juu ya nguvu hizi zisizoonekana. Mifano ni mingi sana lakini yatosha kueleza jinsi Shekh Yahaya alivyotumika hapa Afrika ya mashariki katika utekelezaji wa mbinu a kijasusi ambapo yeye alitumika kuwa tayarisha watu kiakili na kutoa jibu la haraka kwa tatizo kubwa. Albino wanavyouawa nk
Wakati sisi tunabaki hapo wenzetu hujifunza tabia zetu na kutupa yale tunayopenda na kuamini. Mifano ni uenyekiti mwenza wa BWM juu ya globalisation na kumpa sifa kemkem. Nani asiye jua tabia yake ya kupenda kusifiwa na kuona maadui wanaomtahadharisha? Waliofanya hivyo walifaidi na kumwingiza mzee wa watu bikira wa rushwa katika umalaya wa rushwa.
Je tutajikomboa na hil?
Imani kama dini iliisha itwa opium of the people na communist kwa vile iliwafanya watu wasifikiri.