Jidu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 1,232
- 754
Hivi hii mamlaka ya hali ya hewa imeishia wapi na utabiri wa mvua kubwa ambazo tuliaminishwa zingenyesha mwezi huu majuma ya mwanzo lakini sasa mwezi unaelekea kuisha hakuna dalili za mvua hizo.
Hivi kwanini tunashindwa kukisia kiuhalisia? Mitambo yetu haina uwezo wa kuona nini kitakachojiri katika anga yetu?au mpka tuangalie wazungu wamesemaje juu ya kitakachojiri kwenye anga letu nasi tuwatangazie uma kuwa kuna mvua zitakuja.
Hivi kwa mfano ndio mkulima unafuata utabiri wao si imekula kwako!
Hivi kwanini tunashindwa kukisia kiuhalisia? Mitambo yetu haina uwezo wa kuona nini kitakachojiri katika anga yetu?au mpka tuangalie wazungu wamesemaje juu ya kitakachojiri kwenye anga letu nasi tuwatangazie uma kuwa kuna mvua zitakuja.
Hivi kwa mfano ndio mkulima unafuata utabiri wao si imekula kwako!