Biteko: Viongozi wa ngazi zote, toeni elimu ya namna ya kukabiliana na mvua za El-Nino

Pfizer

JF-Expert Member
Mar 25, 2021
309
522
Naibu Waziri Mkuu, Dkt. Doto Biteko amewataka mawaziri, wakuu wa mikoa na viongozi wengine kuhakikisha wanatoa elimu ya namna ya kukabiliana na mvua za El-Nino zinazotarajiwa kuanza kunyesha kuanzia mwezi huu mpaka mwakani, kwa mujibu wa utabiri wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA).

 
Naibu Waziri Mkuu, Dkt. Doto Biteko amewataka mawaziri, wakuu wa mikoa na viongozi wengine kuhakikisha wanatoa elimu ya namna ya kukabiliana na mvua za El-Nino zinazotarajiwa kuanza kunyesha kuanzia mwezi huu mpaka mwakani, kwa mujibu wa utabiri wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA).
Hiyo elnino Tangu ianze kusemwa mara mwezi wa nane ukaisha...Ukaja mwezi wa tisa ukaisha na huu wa kumi unakaribia kuisha.

Hahahaha haya bhna ila ndo fursa ya kupiga pesa hiyo🤣🤣
 
Hiyo elnino Tangu ianze kusemwa mara mwezi wa nane ukaisha...Ukaja mwezi wa tisa ukaisha na huu wa kumi unakaribia kuisha...
Hahahaha haya bhna ila ndo fursa ya kupiga pesa hiyo🤣🤣
Mwezi wa nane walitabili msimu huu wa mvua kutakua na El nino hawakusema kwamba iyo El nino itaanzwa mwezi wa nane au wa tisa.
 
Naibu Waziri Mkuu, Dkt. Doto Biteko amewataka mawaziri, wakuu wa mikoa na viongozi wengine kuhakikisha wanatoa elimu ya namna ya kukabiliana na mvua za El-Nino zinazotarajiwa kuanza kunyesha kuanzia mwezi huu mpaka mwakani, kwa mujibu wa utabiri wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA).
View attachment 2781128
TMA watupie ata klip ka mafuriko kamfano zinaponyesha ilnino mzaha mazaha -baadae unatumbua jipu...🤫
 
Naibu Waziri Mkuu, Dkt. Doto Biteko amewataka mawaziri, wakuu wa mikoa na viongozi wengine kuhakikisha wanatoa elimu ya namna ya kukabiliana na mvua za El-Nino zinazotarajiwa kuanza kunyesha kuanzia mwezi huu mpaka mwakani, kwa mujibu wa utabiri wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA).
View attachment 2781128
View attachment 2781130
Mwambie apunguze munkali! Hawa TMA hawana lolote ni wapiga ramli tu hawana uhakika.
Walisema mvua zinaanza mwanzoni mwa October bila tarehe maalum!!
Hakuna mvua za kutisha tuchape kazi kwenda mbele!
 
Hii ilikuwa Ni AUGUST 24..

Screenshot_20231013-220408.png


Screenshot_20231013-220517.png

Soma hiyo Habari Vizuri ..
Cc BEFORE
 
Naibu Waziri Mkuu, Dkt. Doto Biteko amewataka mawaziri, wakuu wa mikoa na viongozi wengine kuhakikisha wanatoa elimu ya namna ya kukabiliana na mvua za El-Nino zinazotarajiwa kuanza kunyesha kuanzia mwezi huu mpaka mwakani, kwa mujibu wa utabiri wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA).
View attachment 2781128
View attachment 2781130
Hao chawa wao hiyo elimu wanaipatia wapi? Mtu amepewa u-dc kama asante ya kuwa kada mtiifu wa mambuzi leo awe meteorologist au disaster management expert!
 
Mvua ziko wapi na jua linaua mtu hapa
Ujue mwenzako kisha timiza kazi yake ya kutoa 'soundbyte', hata kama haina maana yoyote. Hapo siku ya kazi tayari kishaitekeleza. Huu ndio uongozi halisi wa nchi yetu sasa hivi.

Anazungumzia kuwapa watu "elimu" wakati yeye mwenyewe, hata kule kugusia hiyo elimu ni ya namna gani hawezi au hajui chochote kuhusu elimu anayoihimiza watu wapewe.
 
Hiyo elnino Tangu ianze kusemwa mara mwezi wa nane ukaisha...Ukaja mwezi wa tisa ukaisha na huu wa kumi unakaribia kuisha.

Hahahaha haya bhna ila ndo fursa ya kupiga pesa hiyo🤣🤣
Yumkini utakuwa Dr wa pale C1 bugando hospital
 
Back
Top Bottom