uspite tu! Lazma inakuhusu.

ok bebi cunajua izo chuchu kiduchu daima zanipa uchu,sihemi simungunyi na hema tu nusunusu,lol,Mx


likizo ya kujiachia imeachia
vichuchu nilkukabdh ukaona ofa kiduchu
sasa niwe mchuchu hali nisha kuchu?
Umechelewa baby next tym b redy
 
nimetumia likizo yang yote jf nimekutana na wengi. Kuna watu wamenvutia na kunpokea vizuri kama hot mod jina lake gum alini pm ushauri wa maana na haja pamoja na anty ashadii ambae nataman angekuwepo naskia bado mgonjwa, hot mod nido zake zinanitoaga macho, dazpoz, mphamvu, wengine cwataj sbb walkua ki pm zaid na familia yote ya anty Ashadii ambae aliniunganisha kwa woote na wote wakanipokea. wanafurahsha sana hawa i wish mngekua kwel hivo. nimesahau majna ya wana familia wengine namkumbuka anty kingasti sbb mkal na anatishia ki toy gan chake kila saa na ankal kaizer sbb nae alnikarim. Husninyo sbb ya kihere here cha kuchongea na Mwali na swt lady sbb alisema Cookie wake. Niltaka kusahau na Michele, Afrodensia, 1st lady hawa walnipa ushauri wa kau mbunge na dada 1st lady nae alikua ananipm kunitulza. Niksahau kumtaja Lizy alienpokea kwa mbwembwe akakuta mtoto wa kike nina mbwembwe zaid yake nikchokolewa itakua sio busara ila punguza kidogo hizo mbwembwe. MTM ni kweli nakupenda ila sio kimapenzi napenda myuzik avata ikanivuuuuuta! nitakumiss ila nakupenda sana. Cookie mod wa chit chat ni mod mzuri na muelewa huyu naona nilikua na ka chembe ka kumdondokea ndio manaa cmpend swtlady. Mnisamehe niliokua nawaboa na wale ambao wakiniudh nilkua nawatus cko hivo ila nilkua naona raaaaha kwenye haya mafek ID! Na nyie mliokua mnaniboa nawasamehe. Btw sio utani. Mi ni mzuri na mpolee pia ukiniona. Jina langu halis ni Sharon N na nina 18. Naomba mnipe hongera nimefaulu na kupata div II. Najua nikitaka nifanye vyema inatakiwa niache mambo ya mtandao na kushinda na chat na cm. Masomo yang ni science kombi ilio tick ni PCB na cjafanya vzuri matokeo kwa masomo hayo sbb Mathe imenifelisha na nilikua nataka PCM. Mubarikiwe wote bwana awe nanyi.


Golden Mpoleeee.

Bye!

i wish you all the best!
 
mmmmmmmmmmmmmmhhh 18? Naanza kutafakari uwepo wangu jf.Should i quit jf ?maana tunayoongea humu jf! Mmmmhhhh!!
 
mmmmmmmmmmmmmmhhh 18? Naanza kutafakari uwepo wangu jf.Should i quit jf ?maana tunayoongea humu jf! Mmmmhhhh!!

Mkuu umeona eh hata mimi nimeanza kushtuka maana sasa hivi mtandao umevamiwa na madenti
 
Kumbe ndio maana JF ilikuwa ina vituko vingi wakati wa kusubiria matokeo na baada ya matokeo..Dah kwa wale wenye watoto wa kike unaweza kustukia umem-PM binti yako habari ya mapenzi,jamani kuweni waangalifu.

All in all i wish u the best,usicheze eeh
 
congratulations and all the best, zidisha bidii kwenye b/m mbona rahisi tu. Mimi napenda sn m'ke akiwa anaelewa maths/physics tusikubali kupitwa na w'ume tu kila siku
 
Kumbe ndio maana JF ilikuwa ina vituko vingi wakati wa kusubiria matokeo na baada ya matokeo..Dah kwa wale wenye watoto wa kike unaweza kustukia umem-PM binti yako habari ya mapenzi,jamani kuweni waangalifu.

All in all i wish u the best,usicheze eeh


mbona kuna watu wazima ovyoooo hapa jf, kwani uanafunzi kitu gan?

najua nin nataka na ninachotaka haitakiwi nikacheze shule. nitakazana mm ni future speacialist Doc, nalijua hilo bado tu kuonesha ulimwengu sina masihara!
 
Back
Top Bottom