G Mpoleeee
Senior Member
- Feb 9, 2012
- 153
- 16
- Thread starter
- #61
ukiwa na uhai
Marfuku kukata tamaa
unaweza kuwa chochote unachotaka kuwa.
Uwe na nia.
sante. nitakua doctor au pilot. I am willing and able.
ukiwa na uhai
Marfuku kukata tamaa
unaweza kuwa chochote unachotaka kuwa.
Uwe na nia.
mmmmmmmmmmmmmmhhh 18? Naanza kutafakari uwepo wangu jf.Should i quit jf ?maana tunayoongea humu jf! Mmmmhhhh!!
Bandiko langu la mwisho jamii forums,
hom of Grt thinkers na kenge humo humo.
I lov all who lov me.
Sharon.
Bye.
achen mikwara mbuz! tuagane vizuri.
mbona kuna watu wazima ovyoooo hapa jf, kwani uanafunzi kitu gan?
najua nin nataka na ninachotaka haitakiwi nikacheze shule. nitakazana mm ni future speacialist Doc, nalijua hilo bado tu kuonesha ulimwengu sina masihara!
Bandiko langu la mwisho jamii forums,
hom of Grt thinkers na kenge humo humo.
I lov all who lov me.
Sharon.
Bye.
ningekua na akil nilyonayo sasa ningekata. Nilkua naogopa alaf ni kakangu wa kambo.
ulipotelea wapi aisee? loh! avatar imenihadaa nikajua ashadii mwingine.Golden Mpolee, mzuri na Mpolee na Doctor matarajiwa wa Familia yetu pendwa.... Nasikitika nimepishana na wewe na kukuta ushatoa bandiko lako la mwisho kwa hapa JF. Nimefurahi kwa habari yako ya ufaulu na hasa kua wachukua science, nimefurahi pia kwa kutambua kwako kua shule ni muhimu na mtandao waweza kukupotezea mda. I am more so humbled kua you think of me that way... Mungu akubariki katika safari yako ya masomo na maisha... Na usisite kua kila upatapo nafasi upite kidogo JF.
God... 18??? That explains a lot dear... Best of Luck.
Pamoja saana.
ulipotelea wapi aisee? loh! avatar imenihadaa nikajua ashadii mwingine.