Chief Lugina
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 286
- 76
JD please kwa yeyote anayeweza kunisaidia mafuta au lotion ambayo inaweza kufanya uso wangu uwe soft bila chunusi wala makovu. Nimetumia mafuta na lotion ya kila aina lakini naona kama namaliza hela tu na imefikia sasa saona kama uso umekuwa sugu. Please kama kuna mtu yeyote anaye weza kunisaidia please niambie nitumie nini ili kufanya uso wangu kuwa soft.
NOTE: Siyo kunifanya kuwa mweupe(Kuni braech) nataka nibaki na color yangu but isiwe na mabaka na chunusi....
NOTE: Siyo kunifanya kuwa mweupe(Kuni braech) nataka nibaki na color yangu but isiwe na mabaka na chunusi....