Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 1,831
- 3,063
Ndugu zangu naombeni anaejua dawa, sabuni, mafuta au lotion inayoweza kuondoa upele usoni mabaka na chunusi.
Kiukweli uso wangu umetokewa na upele mwingi naombeni msaada
Kiukweli uso wangu umetokewa na upele mwingi naombeni msaada