nosspass
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 5,800
- 4,756
Tabia ya wanaume kuchepuka naichukia sana...na ikija kwa mwanamke napo siipendi.
Sasa wewe kwanini haujamjibu kama hautaki kuongea kiutu uzima. Inaonekana nawe unataka kuonja...kwani ungemwambia nitasema au sitasema angefika huko? Subiria basi uone msg zenu zinabambwa ndio utajua tamaa mbaya...mjibu kuwa hautasema na mmalize maana na wewe utakamatwa tu arobaini yako ikifika.
wala asijaribu kumjibu kwa msg, amfuate nyumbani kwake, kumuonyesha heshima, amkabidhi pesa na kutamka, mimi sikuhukumu wala sintotamka, jiheshimu...only that,,, coz akianza na msg,,,,anaweza mgeuzia kibao kuwa jamaa alikuwa anamtaka na akahakikisha kauvunja urafiki wenu then aendelee kuchepuka.....