Uso kwa uso na mke wa rafiki yangu gesti

1;Acha Michepuko Wewe!
2;rudisha Mtonyo

Maana Huwezi Jua Kesho Ikawa Zam Yako Kukamatwa Maana Umesema Hiyo Ni Tabia Yako Ya Kuchepuka!

Lakn Pia Maandiko Yanasema
TENDA YALE UNAYOPENDA KUTENDEWA NA WENZIO......USITENDE YALE USIYOPENDA KUTENDEWA NA WENZIO!


Siku akikudaka huyo mmama atakutaka umpatie 5mil asikutibulia kwa mkeo na michepuko yako
 
Mrudishie hiyo pesa na umwambie asiendelee na hiyo tabia!

NB :habari kama hii imeshawai kuwekwa hapa jf...
 
Kama ungekuwa siyo mzinifu ulikuwa na haki ya kumwambia rafikiyo. Ila hapo ngoma draw. Msamehe bure shemejiyo maana ukimshtaki dhambi hiyo haitakuacha salama maana nawe lazima yakukute. Ila muonye tu asirudie tena
 
Mkuu hiyo mia 5 usirudishe ila mwambie next time utamtosa akiendelea hivyo,,,, ila usitembee nae atafanya wewe ni poozeo lake na mtanogewa na kukamatwa live.
 
wajnga ndo waliwao amna cha kupotezea hap kakanyage disk kwa kwenda mbel ksha aongeze posho sjui sa iv utaenda moro kweny semna kama kawaida yako hahaha lol.
 
unaonekana unataka kwenda kumgegeda na huyo shemeji yako maana ndio tabia yako....... rudisha pesa yake maana wote ni wazinzi na ufunge domo lako as if nothing happened!!
 
Cha msingi na cha sekondari mrudiahie pesa yake na pia kuhusu mapenzi naue achana naye na mweleze ukweli utoweza kwa hilo wala kufanya hivyo
 
Back
Top Bottom