Hao Waislam ni wachache sana. Wakileta upuuzi wao tunawaangamiza kabisa.
Tatizo ni kwamba, kadiri center of gravity inavyozidi kwenda chini, ndio uwezekano wa muanguko unavyozidi
Jua litakapotua na Giza litakapoingia...mwelekeo wa Tanzania utaamuliwa leo. Natumaini wapo watu ambao watasimama pamoja kupinga. Watu wema wa tanzania wapo wapi? Utafika wakati wale wenye kuamin katika udugu na umoja watoke na kusimama pamoja. Wasikubali kuiachia nchi ivurugwe hivi kwa uzembe wa wawatawala. Sijui usiku hu utapitaje..I dread the thought
Jua litakapotua na Giza litakapoingia...mwelekeo wa Tanzania utaamuliwa leo. Natumaini wapo watu ambao watasimama pamoja kupinga. Watu wema wa tanzania wapo wapi? Utafika wakati wale wenye kuamin katika udugu na umoja watoke na kusimama pamoja. Wasikubali kuiachia nchi ivurugwe hivi kwa uzembe wa wawatawala. Sijui usiku hu utapitaje..I dread the thought
Lingekuwa jambo la maana.Mwanakijiji una taarifa gani kwani kuna watu wamepanga kufanya fujo isiku huu.?
Hili nalo litapita watanzania ni watu wa kusahau!.
Angalia
* mauaji ya mwangosi
*kutekwa kwa Dr ulimboka
*kugoma kwa madaktari.
*kugoma kwa walimu.
*mauaji ya barlow
*Riport ya mauaji ya mwangosi
*Dr ulimboka kamtaja ana ye husika kumteka.
Na sasa ya sheikh ponda.
Huu wote ni upepo utapita na watanzania kama kawaida yao ni kupuuza they wont think about it again as usual.
Watanzania wenyewe ni moja ya maajabu ya dunia.
mkuu hiyo kwenye red umemaliza kila kitu...Hili nalo litapita watanzania ni watu wa kusahau!.
Angalia
* mauaji ya mwangosi
*kutekwa kwa Dr ulimboka
*kugoma kwa madaktari.
*kugoma kwa walimu.
*mauaji ya barlow
*Riport ya mauaji ya mwangosi
*Dr ulimboka kamtaja ana ye husika kumteka.
Na sasa ya sheikh ponda.
Huu wote ni upepo utapita na watanzania kama kawaida yao ni kupuuza they wont think about it again as usual.
Watanzania wenyewe ni moja ya maajabu ya dunia.
Mungu pekee anajua. Je wewe uko naye Karibu hapo ulipo.!?Jua litakapotua na Giza litakapoingia...mwelekeo wa Tanzania utaamuliwa leo. Natumaini wapo watu ambao watasimama pamoja kupinga. Watu wema wa tanzania wapo wapi? Utafika wakati wale wenye kuamin katika udugu na umoja watoke na kusimama pamoja. Wasikubali kuiachia nchi ivurugwe hivi kwa uzembe wa wawatawala. Sijui usiku hu utapitaje..I dread the thought