"Vijana mna very proble, mnajianika juani asubuhi mpaka jioni kama solar power"Wanaohusika hapa ni wale Updp a.k.a breki ya nyau waliokua na mgombea anaekata mayi kama mamba pale igunga,chupa za bia zikimuona tu vizibo vinafunguka vyenyewe,mie simo.
na wewe bujibuji umo?fikra masaburi
Sa we naye unahusika kwa namna ipi mpaka umefungua, ukasoma, na tena ukasonya au ukatabasamu na sasa unataka kuondoka bila kuacha coment! Haiwezekani kwasababu umefungua the lazima useme jambo........
Waligundua kwamba sikuwa naumwa ila nilikuwa na akili zaidi yao wote na ndio maana nikawa nakuwa ahead of them kwa kila kitu............ so nikatolewaMwaka jana mwezi wa 10 nilikutana na wewe unapelekwa mirembe kumbe bado ujapona.....
Mwaka jana mwezi wa 10 nilikutana na wewe unapelekwa mirembe kumbe bado ujapona.....
Mikwara mingine bana kama ya Kaboka mchizi!
Kweli kabisa sijui ndio curiosity au ni hali ya binadamu ya kufanya kile walichokatazwa! Vitabu vya Mungu vinasema usifanye dhambi watu ndo wanafanya kwa kwenda mbeleHii inatokea hata viongoz na watu wa kiroho wanaangalia picha chaf, coz zinakatazwa. Mi nimeangalia ili nijue kwa nn anikataze? Ukitaka wasiangalie wasiohusika usiwakataze. Hata ndo maana wanafunz wakiwa bodin wanatoroka kwenda disko, ila wakishamaliza shule wakiwa frii hawaend tena.