EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,090
- Thread starter
- #81
Ndio maana ukachagua jina la kitu ambacho kazi yake ni kutengeneza Ufagio tena hasa wa nje na chooni......................sa kwa fikra zako we hapo kiswahili fasaha ni kipi?(..................Usifungue kusoma kama uhusiki........) Hivi hiki kiswahili umekitoa wapi ?
Uhusiki :Ndo nini sasa. Acha kuharibu lugha yetu .
Bahati yako, ningekutembezea kifimbo cheza.