kule Himo Moshi kuna pombe inaitwa mbundimbundi , ukinywa inaganda tumboni kama lami halafu unakosa hamu ya kitu chochote
hii thread ina harufy ya mbundimbundi
Hahahahaaa haya kaka, hope u had a great week and welcome to a very long weekend mi kesho nina mpango wa kwenda Butiama kuongea na BABA WA TAIFA
Amekugusa eeh?
Shukurani sana kaka nasafiri kama 45 km hivi so sio safari ndefuMkuu wiki yangu ilikua njema sana namshukuru Mungu kwa hilo na naona weekend ndefu inaanza na imeangukia Ijumaa
Asante sana mkuu na uwe na weekend njema pia na safari njema kama unasafiri pia
Shukurani sana kaka nasafiri kama 45 km hivi so sio safari ndefu
Unaitwa UPEKENYUZIMkuu hii mbinu lazima itakuwa ya kupima discipline za watu. Woote walioingia humu wamekosa adabu kwani hawahusiki. Ungewaambia watoto wa chekechea hakuna ambaye angeingia humu kwani watoto ni innocent na ni watiifu ila mijitu mizima inataka kila kitu kuchungulia huku KWA NINI ZIKIWA NYINGI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hahahahahaaa haya mrembo hope na we ulikuwa na week njema na uwe na weekend njema sana