ha ha ha.... wifi... stop being nasty... Please nipe kwa mafumbo....lol
so kihivo, ila nilikumbuka kauli mmojawapo ya Ibrahimu Lipumba wakati wa kampeni 2005, alisema endapo angepata urais basi angempa kikwete nafasi ya kuwa waziri atakaeratibu ishu za warembo koz ye mwenyewe mrembo.heee!! Usiniambie uko pande hizo???
Yangu nayabania mmmhh
nikiyandika nakula BAN ya mwaka...
samahani mpenzi...
so kihivo, ila nilikumbuka kauli mmojawapo ya Ibrahimu Lipumba wakati wa kampeni 2005, alisema endapo angepata urais basi angempa kikwete nafasi ya kuwa waziri atakaeratibu ishu za warembo koz ye mwenyewe mrembo.
Yangu nayabania mmmhh
nikiyandika nakula BAN ya mwaka...
samahani mpenzi...
JK is a good person and a good man... hilo ndio TATIZO...
He has the best interest at heart ya Watanzania... ila kazi hawezi..
yeye ilitakiwa tu awe mfanya biashara maarufu mwenye mpunga mrefu
wa kuweza kuenda nje mara kwa mara... na ku entertain yoote ayapendao
For Uongozi wa nchi masikini kama Tanzania inatakiwa a Mentally and
Physically Strong Person....
aaah!! usijali bana... afta all wanaume the older you become... the more attractive...lol
wangepitiwa nakwambia hao akina wema, nancy sumari ectIla kweli JK analipa in that Sector....lol
Wifi siukuachiii ..... lol
I will narrow it down for you
- Sex related
- Anger related
- Name calling related
- No Guts related.
Kumbe? Ndio maana juzi nikiwa town nilikuwa najiuliza huu mji vipi?
Pole dear... we are in the same boat.... akija rudi wangu..... Dah!