wangepitiwa nakwambia hao akina wema, nancy sumari ect
trust me wifi yangu, none of those. and i guess u will never guess. since kesho hii request ya kutokuchakachua itakuwa haipo, naahidi kuchakachua,lol! ngoja nikimbie b4 hujanibananisha kwenye kona!
Ila kweli JK analipa in that Sector....lol
Nafikiria nifanye nini kesho.Nipumzike nyumbani with a good book and my phone turned off au nifuatilie kitu ambacho nakihitaji next week.
Hili Gozi langu halichelewi, safari zake za haraka haraka, alikuwepo leo asubuhi kanipigia simu anasafiri, ndio zake. Ji handsome langu, nikubandikie picha yake hapa? Wengi watalia nikiiweka! lol.
hahahahahahahahahahahahahaha!!!!!Umeanza vizuuuuri halafu unakandia makusudi tu niudhike!
ha ha ha.... AD dear... wewe sio wa kwanza...
hizi kauli zinanifurahisha kweli... naona kweli
wengi wanayabania... nipe hints basi...
nakupa multiple choice ifuatayo;
I will narrow it down for you
- Sex related
- Anger related
- Name calling related
- No Guts related.
Tafadhali.... tafadhali... tafadhali.... Bandika.....lol
Dah! Heri umebana. Maana nilikuwa na wasiwasi utapakaza.
Zaidi ya mijimacho mbona.vipi, walikuwa wanakukodolea mijicho? kama umeanza kuzeeka mkuu unahitaji bodyguard aisee. na unajua sheria ya kujamiina mwanaume habakwi na mwanamke?
ehe!! mji ulikuaje?? lol
The perfect husband:
Hivi nawaza nini?
Kusoma hii thread tu kumenichanga,
i don't know what am thinking exactly!
AD like King'asti are nasty nasty nasty gals....lol
Acha kunitega bana... mvuto wa kumuona kwa mbali for a man his age...
ingawa kwangu napenda awe younger than him of coz... lol