ushuhuda wa kweli-niliishi miaka 7 bila...

Najua ulikuwa ukizipaka mafuta na hata kujichana ili ziwe katika muonekano mzuri eeh!!
Hongera sana kwa kuweza kuishi muda wote huo bila kukata miti katika msitu wako nadhani kama alibahatika mtu kuingia msituni aliienjoy sana kuona miti ya aina tofauti huku kukiwa na kimvuli safi.

Muonekano mzuri kwa nani naye alikuwa havui chupi kwa aibu............................lol
 
Ka toka la 6 hadi A'level haukuwahi kunyoa sasa si zilikuwa rasta kabisa!?
 
Najua ulikuwa ukizipaka mafuta na hata kujichana ili ziwe katika muonekano mzuri eeh!!
Hongera sana kwa kuweza kuishi muda wote huo bila kukata miti katika msitu wako nadhani kama alibahatika mtu kuingia msituni aliienjoy sana kuona miti ya aina tofauti huku kukiwa na kimvuli safi.

haaaah haaah haaah
 
seven years? aisee!! lakini ndo tatizo la watoto wa mjini. sasa huku kwetu tunaoga ziwani tena uchi kabisa, nakumbuka tukiwa wadogo wale kaka zetu walikuwa wakinyolea huko huko tukiwaona. kwahiyo hata wakati zinaanza kuota tulikuwa tuna darasa tayari. watoto wa siku izi hawaihitaji hata kufundishwa. Smile then ilikuwa kuwaje hadi ukaanza kunyoa? umenikumbusha rafiki yangu wa kike yeye anasema alipokuwa mdogo aliwahi kumfuma housegirl akizini nyumbani kwao na cousin yake, sasa she was trying to imagine that rod to penetrate in that, akawa anajichungulia na kujiuliza why kwake ni padogo vile! utoto kazi kweli
 
Najua ulikuwa ukizipaka mafuta na hata kujichana ili ziwe katika muonekano mzuri eeh!!
Hongera sana kwa kuweza kuishi muda wote huo bila kukata miti katika msitu wako nadhani kama alibahatika mtu kuingia msituni aliienjoy sana kuona miti ya aina tofauti huku kukiwa na kimvuli safi.
ahahaaa mkuu hamna mtu aliingia bwana
 
nilipovunja ungo sikupata mtu wa kunielekeza chochote kuhusu mabadiliko ktk mwili wangu
nilikuwa la sita.

mojawapo ya jambo lililokuwa ninanishangaza ni pubic hair.sasa zikakua na kukua sikujua kama zinanyolewa nikawa nipo nazo miaka inakata. nilipoenda a level boarding nikiwa naoga na wenzangu mimi nilikuwa sivui underwear maana nilikuwa naona siko normal nilikuwa nashangaa mbona wao hawana hzo nywele huko?


hata wanaume walikuwa wakinitongoza nilikuwa nakataa cause nilijua wataniona huku nio aibu nikapanga kwenda kwa daktari bwana ..................................wewe

nashindwa kumalizia mtanicheka sana huku
my point ni vema mabinti waelezwe kuhusu mabadiliko katika miili yao live bwana

Haukuwa unasuka kweli wewe?
 
hahaaa noma ya nini mimi mwenyewe na enjoy sana for 4 years sijakata my arm pit hair... Hhahaaaa coz rafiki zangu German teenagers hua hawanyoi na mimi nimeamua kuishi bila kukata nywele za kwapa
hata hazina shida mbona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom