Apollo
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 4,920
- 3,221
malizia tu jamani, story yako nimeipenda saaaana, lete story basi best. :eyebrows:sitaniii apolo ni kweli yaani nikimalizia utanionea na huruma
malizia tu jamani, story yako nimeipenda saaaana, lete story basi best. :eyebrows:sitaniii apolo ni kweli yaani nikimalizia utanionea na huruma
mwisho wa siku ni nini?
Najua ulikuwa ukizipaka mafuta na hata kujichana ili ziwe katika muonekano mzuri eeh!!
Hongera sana kwa kuweza kuishi muda wote huo bila kukata miti katika msitu wako nadhani kama alibahatika mtu kuingia msituni aliienjoy sana kuona miti ya aina tofauti huku kukiwa na kimvuli safi.
ahaaaa ni noma wewe acha tu utoto bwana
Najua ulikuwa ukizipaka mafuta na hata kujichana ili ziwe katika muonekano mzuri eeh!!
Hongera sana kwa kuweza kuishi muda wote huo bila kukata miti katika msitu wako nadhani kama alibahatika mtu kuingia msituni aliienjoy sana kuona miti ya aina tofauti huku kukiwa na kimvuli safi.
ni siku nyingi mkuu nilipata one ya kumi form four mkuu sasa hv nina masters from strathmore nairobi
ahahaaa mkuu hamna mtu aliingia bwanaNajua ulikuwa ukizipaka mafuta na hata kujichana ili ziwe katika muonekano mzuri eeh!!
Hongera sana kwa kuweza kuishi muda wote huo bila kukata miti katika msitu wako nadhani kama alibahatika mtu kuingia msituni aliienjoy sana kuona miti ya aina tofauti huku kukiwa na kimvuli safi.
nilipovunja ungo sikupata mtu wa kunielekeza chochote kuhusu mabadiliko ktk mwili wangu
nilikuwa la sita.
mojawapo ya jambo lililokuwa ninanishangaza ni pubic hair.sasa zikakua na kukua sikujua kama zinanyolewa nikawa nipo nazo miaka inakata. nilipoenda a level boarding nikiwa naoga na wenzangu mimi nilikuwa sivui underwear maana nilikuwa naona siko normal nilikuwa nashangaa mbona wao hawana hzo nywele huko?
hata wanaume walikuwa wakinitongoza nilikuwa nakataa cause nilijua wataniona huku nio aibu nikapanga kwenda kwa daktari bwana ..................................wewe
nashindwa kumalizia mtanicheka sana huku
my point ni vema mabinti waelezwe kuhusu mabadiliko katika miili yao live bwana
ahahaaa mkuu hamna mtu aliingia bwana