ushuhuda wa kweli-niliishi miaka 7 bila...

nilipovunja ungo sikupata mtu wa kunielekeza chochote kuhusu mabadiliko ktk mwili wangu
nilikuwa la sita.

mojawapo ya jambo lililokuwa ninanishangaza ni pubic hair.sasa zikakua na kukua sikujua kama zinanyolewa nikawa nipo nazo miaka inakata. nilipoenda a level boarding nikiwa naoga na wenzangu mimi nilikuwa sivui underwear maana nilikuwa naona siko normal nilikuwa nashangaa mbona wao hawana hzo nywele huko?


hata wanaume walikuwa wakinitongoza nilikuwa nakataa cause nilijua wataniona huku nio aibu nikapanga kwenda kwa daktari bwana ..................................wewe

nashindwa kumalizia mtanicheka sana huku
my point ni vema mabinti waelezwe kuhusu mabadiliko katika miili yao live bwana

Smile hebu nieleze all that time , ulivunja ungo at what age/ darasa la ngapi ?? na mpaka A level ulikuwa hujagongwa ?? nafikiria ulikuwa unapata taabu kila ukienda haja ndogo , maana ilikubide utumie maji mengi sana kuideki
 
Smile smile the dearest au Dr. alifanya nini kwa mfano???
Isije kuwa alijitwika jukumu la kukunyoa akidai ndo tiba................................................

Duh we umewaza ambalo sikuwazia the DR! Atakuwa ndo alianza na mengine duh!

Smile pole! Mi sikumbuki kufundishwa kunyoa! Wala sijawai wazia kuwa kuna watu inaweza kuwa shida!
Umenifanya niwe makini ntakapomfundisha mwanangu akikuwa hili nalo litakuwemo thanks aisee dadadadahhh hii kali! Tumalizie please!
 
nilipovunja ungo sikupata mtu wa kunielekeza chochote kuhusu mabadiliko ktk mwili wangu
nilikuwa la sita.

mojawapo ya jambo lililokuwa ninanishangaza ni pubic hair.sasa zikakua na kukua sikujua kama zinanyolewa nikawa nipo nazo miaka inakata. nilipoenda a level boarding nikiwa naoga na wenzangu mimi nilikuwa sivui underwear maana nilikuwa naona siko normal nilikuwa nashangaa mbona wao hawana hzo nywele huko?


hata wanaume walikuwa wakinitongoza nilikuwa nakataa cause nilijua wataniona huku nio aibu nikapanga kwenda kwa daktari bwana ..................................wewe

nashindwa kumalizia mtanicheka sana huku
my point ni vema mabinti waelezwe kuhusu mabadiliko katika miili yao live bwana

.....Hahahahahah lol! hii kali :):) bora uliamua kwenda kumuona daktari vinginevyo msitu ungezidi kuongezeka miaka nenda miaka rudi :):) huku ukidhani una kasoro za kimaumbile lol!

 
Last edited by a moderator:
Du aisee yako kali!
Ila mimi nilivyoona 1st drop nilipiga kelele, mom akaja. Nikuambia nilikuwa fom tu, huwezi amini!

Reprodaksheni darasa la Sita, nilitoka nje (nikaenda kucheza na watoto wa darasa la tatu) sababu mwalimu aliandika tusi, ubaoni! (nilianza shule mdogo)!

Pole sana lkn!

hii imenikumbusha jamaa zangu nikiwa f6,kuna jamaa walikuwa walokole wakawa wanamaindi ticha anavyotamka yale maneno yetu. Alipowagundua akaanza kufundisha kwa kiswahili tena bila tafsida
 
sio a level tu kidogo nimalize na chuo bwana shetani huyu?

hehee! Wajanja walikuwahi. Kuna sisi ambao huwa hatukubali demu apite bila kutobolewa! Kama upo upo lazima tutakupata,hata opportunistically.! Hii kitu ipo sana kwa jamaa wanaojifanya wako bize kama wa medicine. Ni wabaya hao,..!!
 
nilipovunja ungo sikupata mtu wa kunielekeza chochote kuhusu mabadiliko ktk mwili wangu
nilikuwa la sita.

mojawapo ya jambo lililokuwa ninanishangaza ni pubic hair.sasa zikakua na kukua sikujua kama zinanyolewa nikawa nipo nazo miaka inakata. nilipoenda a level boarding nikiwa naoga na wenzangu mimi nilikuwa sivui underwear maana nilikuwa naona siko normal nilikuwa nashangaa mbona wao hawana hzo nywele huko?


hata wanaume walikuwa wakinitongoza nilikuwa nakataa cause nilijua wataniona huku nio aibu nikapanga kwenda kwa daktari bwana ..................................wewe

nashindwa kumalizia mtanicheka sana huku
my point ni vema mabinti waelezwe kuhusu mabadiliko katika miili yao live bwana

Duuuu muda wote huo...? hukupata fungus ktk maku kweli...?
 
nilipovunja ungo sikupata mtu wa kunielekeza chochote kuhusu mabadiliko ktk mwili wangu
nilikuwa la sita.

mojawapo ya jambo lililokuwa ninanishangaza ni pubic hair.sasa zikakua na kukua sikujua kama zinanyolewa nikawa nipo nazo miaka inakata. nilipoenda a level boarding nikiwa naoga na wenzangu mimi nilikuwa sivui underwear maana nilikuwa naona siko normal nilikuwa nashangaa mbona wao hawana hzo nywele huko?


hata wanaume walikuwa wakinitongoza nilikuwa nakataa cause nilijua wataniona huku nio aibu nikapanga kwenda kwa daktari bwana ..................................wewe

nashindwa kumalizia mtanicheka sana huku
my point ni vema mabinti waelezwe kuhusu mabadiliko katika miili yao live bwana
something is missing here ,very difficult to connect au utakuwa ulikuwa na matatizo sana...darasa la 6(TOPIC;UKUAJI NA MABADILIKO YA KIMWILI), form 4 na division 1 yako ya 10 ,biology hukusoma?(TOPIC;REPRODUCTION) + what happened kwny nywele zako za kikwapani?ulikaa nazo 7 years pia?.....ANYWAY ITS FUNNY THOUGH.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom