Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,882
- 10,193
Je hakuna huo ukwepaji wa kodi kwenye mafuta?Huo ni uongo uwezo wa meli kushusha KOJ ni meli isiyozidi Tani 35 KT na above that inashushia SPM au single mooring Point ambayo inashusha Diesel peke yake 70KT to 100KT mleta mada usidanganye watu KOJ haiwez kuhimili meli inayobeba Tani laki moja utakuwa umesimuliwa
Hilo ndio swala la msingi