Ushindi wa JK, Mangula na Membe ni Pigo takatifu kwa Lowassa

Jamani lowassa hana maneno mengi ila vitendo vyake nihatari sana membe asiijidanganye kwenye unec amekuwa wa sita je wangesema ni watano inge kuwaje licha ya kubebwa na ikulu bado amepwaya
 
[FONT=courier
new]Membe na Mukama wamepita kwa kura za
kiitifaki! Hawakushinda uliza wahesabuji watakwambia Membe alishindwa
hata na LE Mutuz
[/FONT]
Huu ndio ujinga. Kama ni za itifaki ungesema ni kwa wote waliochaguliwa, si mtu mmoja.
 
kumzuia EL kutimiza matakwa yake ndani ya magamba camp siyo rahisi kama unavyothani..subiri uone akili yake.

Lakini sina shaka EL ni bora azidishe nguvu kwenye biashara na mwanae kadeti kifupi hilo ndio mbinu halisia kuvuna magamba kimtindo. EL kubali yaishe kwani Ujerumani inakusubiri ukapate dose this is my advise to u.
 
Whatever the case, EL atakutana na Dr. Slaa kwenye mchuano wa mwisho. Kwa hiyo wadau tujipange uko upande gani? Kubali au usikubali juu yako. Pesa nyingi sana imeshatumika kutafuta nafasi kwa ajili ya EL. Amua sasa.
 
Na kama kweli Membe na Mangula ni ghosts kwenye ccm na kupata mining votes then ccm is dead 2015.
 
Whatever the case, EL atakutana na Dr. Slaa kwenye mchuano wa mwisho. Kwa hiyo wadau tujipange uko upande gani? Kubali au usikubali juu yako. Pesa nyingi sana imeshatumika kutafuta nafasi kwa ajili ya EL. Amua sasa.

Dogo ondoa ***** wako wa EL jamaa is sick huwa anatetemeka we mpe mkono kama unamsalimia then utaona huwa anatetemeka kabisa kama vile ana miaka 90.
 
Wee mtoa mada upo kundi gan kat ya EL na Membe.!? Ni kwel kwa sasa upepo unaonekana upo vzr kwa Membe, lakn ukwel ni kwamba Jk hawez kumtupa EL, Hata hivyo muda bado, Bw Membe huwa hakiwii kujichanganya na kauli ama matendo, kaz kwenu kumaintain huu upepo.
 
Angalau bandugu unafikiria kwa kutumia akili.

Mie naomba niulize tu, WAPI NA LINI LOWASSA ALISEMA ATAGOMBEA URAIS MWAKA 2015?......

FairPlayer
kwa kadri navyokumbuka huyu jamaa hajasema kama yumo kwenye mbio za urais 2015.

Angalau Membe amepata kuonyesha nia hiyo kwa maneno yake mwenyewe.

Watu wanamwongelea EL utafikiri jabari lenye ushawishi kama Nyerere au Mandela.
 
Komredi Mang'ula!,nadhani senema ndio yaanza tuone Stelingi anavyokufa.
 
Whatever the case, EL
atakutana na Dr. Slaa kwenye mchuano wa mwisho. Kwa hiyo wadau tujipange
uko upande gani? Kubali au usikubali juu yako. Pesa nyingi sana
imeshatumika kutafuta nafasi kwa ajili ya EL. Amua sasa......

Ni kweli 2015 ni EL na Dr Slaa.JK,Mangula na Membe hawana ubavu wa kumtoa na kumshinda EL kama unabisha subiri 2015 utaona.
 
Huyu mkuu EL ni bora tukampa nchi kwani ana maamuzi magumu sio kama viongozi waliopita Kapa na Jk!
 
Hizi simulizi mbona ni mambo tunayo yajua tayari...tuleteeni mapya na kama hamna tulieni jama!
 
Back
Top Bottom