jangala
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 1,583
- 2,362
Hapana sister me kwa mtazamo wangu naona kama umepata kamchepuko maaana hapo sioni tatizo kama kweli unampenda coz linarekebishika hilo kaa nae chini umwambie nini unataka afanye kama mwanaume anayejielewa sio kumuacha bila kuongea nae hapo utakuwa umefanya kosa
Ni vigumu kumbadili mtu life style yake.. Labda wampeleke JKT then akapige na JWTZ huko taaluma hyo wanayo.. Lakin kwa huyu dada mnajidanganya... Anajua urithi upo