Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
anawaza atafanyaje au atatoka vip ndani ya hiyo ndoa
je anaweza kwenda mahakamani ili aweze kusaidiwa ?
hayupo serious huyo, karidhika na hayo maisha, anawaza atatoka vipi? hivi ni kitu cha kuwaza hicho, labda aseme yeye bado ana mapenzi na mumewe tumuelewe.....