Ushauri wangu serikali ingejenga kituo cha mabasi Bunju B badala ya Boko

zamlock

JF-Expert Member
Dec 25, 2010
3,840
657
Ushauri wangu kwa hali ilivyo kwa sasa katika maeneo haya ni vyema serikali ingejenga kituo maeneo ya Bunju B badala ya Boko kwa sabubu tayari maeneo ya Boko kumeshaanza kuwa na msongamano mkubwa wa watu na makazi ya watu tofauti na Bunju B..kinacho kimbiwa Ubungo ni eneo kuwa mjini na kusababisha foleni.

Ni vyema serikali ikawa na maono ya mbali kujenga kitu ambacho kitatumika kwa miaka zaidi hata ya 30 ni ushauri wangu.
 
Na kituo cha mikoa ya kati wangejenga kongowe! Mbezi is overcrowded already!
 
naunga mkono hoja yako pia kituo cha mbasi yaendayo mikoa ya kati na nyanda za juu kusini kijengwe kiluvya kuna eneo
kubwa sna lipo wazi halijajengwa na lipo karibu tu na barabara kuu.
 
naunga mkono hoja yako pia kituo cha mbasi yaendayo mikoa ya kati na nyanda za juu kusini kijengwe kiluvya kuna eneo
kubwa sna lipo wazi halijajengwa na lipo karibu tu na barabara kuu.

Ni kwel saizi tegeta na boko ni jirani sana na watu wamejenga sana ebu fikiri ile purukushani ya ubungo ndo iamie boko pale? Hii serikali sijui inawaza nini jamani sijui viongozi wetu wana mitizamo gani katika kuliletea taifa maendeleo...kitu kijengwe bunju b wapanue mji
 
acha wajenge hapo hapo boko wakazi wa huku tunufaike kwa kupangisha nyumba zetu kwa bei ya juu.
 
Ushauri wangu kwa hali ilivyo kwa sasa katika maeneo haya ni vyema serikali ingejenga kituo maeneo ya Bunju B badala ya Boko kwa sabubu tayari maeneo ya Boko kumeshaanza kuwa na msongamano mkubwa wa watu na makazi ya watu tofauti na Bunju B..kinacho kimbiwa Ubungo ni eneo kuwa mjini na kusababisha foleni.

Ni vyema serikali ikawa na maono ya mbali kujenga kitu ambacho kitatumika kwa miaka zaidi hata ya 30 ni ushauri wangu.

Kwa jinsi jiji la Dar linavyojengwa kwa kasi, na hali ya foleni ilivyo.Kituo hiki kilipaswa kuwa Bagamoyo,cha mabasi yanayotumia morogoro road ,kilipaswa kuwa Kibaha,au Kisarawe, na kile cha mabasi ya kusi kilipaswa kuwa Mkuranga.
Huku ndani yangebaki hayo yanayoitwa yaendayo kasi, kwa ajili ya kusafirisha abiria.Muda si mrefu tutatkuja na plan ya kuhamisha vituo kwa gharama , kubwa.Ni lazima tufamye maamuzi ya muda mrefu,ili kuokoa gharama na muda,wa kurudiarudia kufanya kazi hiyohiyo.
 
Back
Top Bottom