Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,111
- 18,327
Haya ni maajabu,
Wanazuia mabasi yasiyo na namba D au E kuingia lakini wameruhusu Bajaji na bodaboda kuingia..
Tena wanasema madereva na wasaidizi wao wavae sare kama za shule, suruali dark blue na shati jeupe kisa kituo kipya.
Latra sio akili zao zinawaza nini?
Kama hawana mambo ya kufanya watusaidie kuondoa bajaji ambazo sasa zimejimilikishia njia kama daladala.
Njia ya Mbezi to Makumbusho wamesimamisha kutoa leseni kwa daladala lakini wameachia bajaji zifanye hiyi route.
Ushauri wangu LATRA ifutwe, maana hakuna kazi inafanya.
Wanazuia mabasi yasiyo na namba D au E kuingia lakini wameruhusu Bajaji na bodaboda kuingia..
Tena wanasema madereva na wasaidizi wao wavae sare kama za shule, suruali dark blue na shati jeupe kisa kituo kipya.
Latra sio akili zao zinawaza nini?
Kama hawana mambo ya kufanya watusaidie kuondoa bajaji ambazo sasa zimejimilikishia njia kama daladala.
Njia ya Mbezi to Makumbusho wamesimamisha kutoa leseni kwa daladala lakini wameachia bajaji zifanye hiyi route.
Ushauri wangu LATRA ifutwe, maana hakuna kazi inafanya.