The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
mwanamme nae alimtuma so lazima amtii mumewe
Unamtii mumeo kufanya mauaji??????
mwanamme nae alimtuma so lazima amtii mumewe
Unamtii mumeo kufanya mauaji??????
Nasikia panaitwa Pomelini jaribu kufuatilia
kwani wakati wanakubaliana nauli ni 750 hakujua mfukoni ana sh ngapi?mind u mke na mume wameapa for beta or worse!anyweiz hatukuwa kwenye tukio so ni ngum kusema maybe konda nae alitoa kitu kingine who knws,wote wamefanya makosa acha wakatumikie jela
Unamtii mumeo kufanya mauaji??????
Pia kwenye mauaji lol!!! Hivi umeisha RETHINK
Hata mimi nimeshangaa mtu anamtii mumewe kwenye mambo ya ajabu wakati yeye ndo alipaswa kutuliza hasira ya mumewe, kweli hasira ya mwanadamu haitendi haki ya Mungu.
Bado sijamaliza mwenzang, Am still Rethinking!!!
Mmmh huyu mama kiboko ujue, kama ni kweli lakini,
Manake hata wakati mwizi anapigwa mahali wanawake wengi huwa wanakimbia, au wanalia muacheni tu jamani.
Lakini yeye kaleta nyundo kabisaaaaa, usikute alikuwa anasema uaaaaaaa!, uaaaaa mume wangu!!
for beta or for worse till death do us pat
Bado sijamaliza mwenzang, Am still Rethinking!!!
Mmmh huyu mama kiboko ujue, kama ni kweli lakini,
Manake hata wakati mwizi anapigwa mahali wanawake wengi huwa wanakimbia, au wanalia muacheni tu jamani.
Lakini yeye kaleta nyundo kabisaaaaa, usikute alikuwa anasema uaaaaaaa!, uaaaaa mume wangu!!
Yule mama alikuwa na nafasi ya kushusha jazba ya mmewe maana mme ana umri wa miaka 39 ni baba mtu mzima alafu Konda ni miaka 25 ni bado kijana mmbichi kabisa
Hivi na ile ya kulazwa stoo ni for beta or for worse???
nimeipenda hii
Kwa pilato jamaa ajibu hivi "Huyu mwanamke niliyepewa niwe naye, amenipa nyundo, nami nikaua", then hakimu atamuuliza mwanamke, "ni kitu gani ulichotenda ewe mwanamke"?
eeeeh tena hiyo ndo kabisa na leo ulivyoniuthi ntakulaza banda la kuku
Wait!!! Ngoja nikatafute nyundo kwanza
njoo nayo tu mitayari nina jembe nikulime bichwa vzr