Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
Jamaa mmoja mkazi wa Arusha jana amemuua kondakta wa daladala kwa kushilikiana na mke wake. Jamaa huyo alikubaliana na kondakta nauli sh.750 lakini alipo fika kituo anacho shuka akatoa sh.200 ndipo mjadala mkali ukaanza baina yake na kondakta eneo lile ni jilani na makazi yake huyo jamaa, ugomvi ukaanze pale mke wa yule jamaa alienda nyumbani kuchukua nyundo nzito na kumpa mmewe, jamaa akaitumia kumbonda kondakta kichwani.