Wewe? Kumbe kweli mkuki mtamu kwa nguruwe!
ah sasa nimwambiaje jamani. yeye aendelee tuu kuenjoy kwani tatizo lipo wapi?
Wewe? Kumbe kweli mkuki mtamu kwa nguruwe!
Unachukia kitu gani saa nyingine msagaji??eti msaada wa haraka??na hiyo miaka 6 mbona hukuwa na haraka nayo ukaacha mapema?? Unachoboa unajijua kama ni msagaji,na unajua kama unafanya makosa,sema unatafuta njia za kuhalalishiwa huo usagaji.
binafsi kwa sasa nachukia sana na nikijaribu kuacha yule rafiki angu wakike hataki na akiwa karibbu yangu basi nakua weak
mimi nimsichana mwenye miaka 22. jamani sijui ninamatatizo ninampenzi wangu wa kike 1 na ninampenzi wa kiume cha ajabu na furahi sanna pindi napofanya romance na mwanamke mwenzangu kuliko boyfriend wangu nimejaribu kuacha nashindwa nimiaka 6 sasa nitumie dawa ganni jamaan au ndio nimeshaaribika hivyo
Hii ni sababu nyingine itayonifanya mwanagu asome shule mchanganyiko.
Kama 80s watu wa girls schools walikuwa wanasagana...leo hii na utandawazi huu si ndio itakuwa balaa.