hebronipyana
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 265
- 78
Hii ni moja bandiko mbovu kabisa humu iliyoandikwa na huyu nguli wa humu kwasababu ya ujinga tu na ushabiki wa kipuuzi tu.
Anayeamua nani awe kiongozi aka rais wa nchi si JK, kilichotokea kwa habari ya wawili hawa si kigeni kutokea kwenye maisha haya.
Kwa utaratibu waliojiwekea CCM mwaka ule wa 1995 ilikuwa ni zamu ya Rais kutoka upande wa pili wa jamhuri na most likely Salim Ahmed Salim alikuwa ndiye mtu sahihi kwa nafasi ile then, lkn tuliona jinsi mtandao kwa affluence yao walivyo'influence matokeo, huku wakimdhalilisha sana Salim wakiongozwa na Lowassa huyuhuyu, kilichotokea baina ya JK na Edo kwa mujibu wa karma ni what goes around comes around au kwa kindengereko chetu ni apandacho mtu ndicho atakachovuna.
Hivyo basi JK hana cha kuomba msamaha kwa EL.
Tatizo lako huo upuuzi wako unaouita karma ni kujidanganya kwasababu umeamini EL atakuwa Rais baada ya Tar. 25 Oktoba 2015, huu ni upuuzi ambao kwa bahati nzuri tu umeonyesha makengeza ya kimtazamo. Pole na maisha.
Anayeamua nani awe kiongozi aka rais wa nchi si JK, kilichotokea kwa habari ya wawili hawa si kigeni kutokea kwenye maisha haya.
Kwa utaratibu waliojiwekea CCM mwaka ule wa 1995 ilikuwa ni zamu ya Rais kutoka upande wa pili wa jamhuri na most likely Salim Ahmed Salim alikuwa ndiye mtu sahihi kwa nafasi ile then, lkn tuliona jinsi mtandao kwa affluence yao walivyo'influence matokeo, huku wakimdhalilisha sana Salim wakiongozwa na Lowassa huyuhuyu, kilichotokea baina ya JK na Edo kwa mujibu wa karma ni what goes around comes around au kwa kindengereko chetu ni apandacho mtu ndicho atakachovuna.
Hivyo basi JK hana cha kuomba msamaha kwa EL.
Tatizo lako huo upuuzi wako unaouita karma ni kujidanganya kwasababu umeamini EL atakuwa Rais baada ya Tar. 25 Oktoba 2015, huu ni upuuzi ambao kwa bahati nzuri tu umeonyesha makengeza ya kimtazamo. Pole na maisha.