Wakuu,
Heri Inapatikana?
Natumaini nyote ni wazima......!
Teamo anaenda straight kwenye hoja......!Na ujumbe huu uwafikie ''wenye ndoa zao'',mkubali msikubali potelea mbali,mimi nawapa black-and-white
Kama umeoa/umeolewa......
Halafu Una hobby na ''mipango ya kando''......
TAFADHALI NAOMBA TUSIWE NA TABIA YA KUWEKA JEALOUSY DHIDI YA MIPANGO YA KANDO....!Haiingii akilini mwa mtu kwamba unatengeneza ''JEALOUSY'' ya level ya juu kabisa kwenye mipango ya kando ilhali unajua kuwa:
-MPANGO WAKO WA KANDO NI MKE/MUME WA MTU
-SIO KWELI KWAMBA ON A SERIOUS SCENARIO MTU UNAWEZA MPENDA MKE/MUME WA MTU IL HALI UNA MUME/MKE UMEMWACHA NYUMBANI!
mi nadhani hii mipango ya kando (kwa wenye hobby na nguvu za kumudu) tuwe tunashea ''kwa amani'' bila wivu....!kwamba leo wewe kesho na mimi pia BILA WIVU!na ukiniona we potezea tu maisha yaendelee au vipi?
habari ndo hiyo.....!kudadadadek
narudi kwa
-mkoloni wa amani
-mkoloni Ti
-mkoloni pikap
-mkoloni RaV4
-mkoloni stalet
-mkoloni gx100
-mkoloni eskudo
-wivu premio
Aiseeee!!
Wanasema vipo vya kushare lakini sio mapenzi....sasa sijui ukiwa na mpango wa nje ni mapenzi ama?
mi nalia na hawa wanaojiita wana ndoa...!
hivi una ndoa (mume/mke)....halafu una hobby na mipango ya kando...halafu unaleta wivu?....!gademu
Wakuu,
Heri Inapatikana?
Natumaini nyote ni wazima......!
Teamo anaenda straight kwenye hoja......!Na ujumbe huu uwafikie ''wenye ndoa zao'',mkubali msikubali potelea mbali,mimi nawapa black-and-white
Kama umeoa/umeolewa......
Halafu Una hobby na ''mipango ya kando''......
TAFADHALI NAOMBA TUSIWE NA TABIA YA KUWEKA JEALOUSY DHIDI YA MIPANGO YA KANDO....!Haiingii akilini mwa mtu kwamba unatengeneza ''JEALOUSY'' ya level ya juu kabisa kwenye mipango ya kando ilhali unajua kuwa:
-MPANGO WAKO WA KANDO NI MKE/MUME WA MTU
-SIO KWELI KWAMBA ON A SERIOUS SCENARIO MTU UNAWEZA MPENDA MKE/MUME WA MTU IL HALI UNA MUME/MKE UMEMWACHA NYUMBANI!
mi nadhani hii mipango ya kando (kwa wenye hobby na nguvu za kumudu) tuwe tunashea ''kwa amani'' bila wivu....!kwamba leo wewe kesho na mimi pia BILA WIVU!na ukiniona we potezea tu maisha yaendelee au vipi?
habari ndo hiyo.....!kudadadadek
narudi kwa
-mkoloni wa amani
-mkoloni Ti
-mkoloni pikap
-mkoloni RaV4
-mkoloni stalet
-mkoloni gx100
-mkoloni eskudo
-wivu premio
unajua mj1,Teamo umeamua kuvunja ukimya?....hongera. Ila hapo kwenye red naona kama panakinzana na thread nyingi zilizopita zenye kuhusu uhalisia wa mapenzi kati ya mipango ya nje!!
Hapo sasa............kwa kweli ni ngumu kutabiri na pia ni ngumu kuelezea ila ninachoelewa ni kuwa mapenzi si channel za kwenye TV kusema kuwa ukiona unakuwa addicted unabadili channel kuondoa addiction. Unawezajikuta umepata hisani ya mara moja ukanogewa but unajiapiza I will not fall, then unarudia then baam anapromotiwa na kuwa mpango wa kando. Sasa mpaka ufike huko nashindwa kuelewa namna utakavyoseparate hisia na starehe. Kama unaridhishwa na unafurahia si ni lazima utakipenda jamani? Then ukishakipenda kitu si rahisi kutokionea wivu............hata hao wanaosema hawana wivu si wa kweli wanaumia moyoni sema tu wamejaaliwa utashi na uwezo wa kujizuia kuonyesha.
Kwenye mapenzi wivu ni inevitable ..............tunatofautiana tu namna ya kuhandle.
Cha muhimu ni kujizuia kujaribu....kwa sababu ukijaribu ukakolezwa lazima ujenge kibanda na ukikijenga huweziruhusu mmasai aje achomeke mkuki...........lazima utagumia
SO TUACHE KUJARIBU, TURIDHIKE NA TULIONAO.
unajua mj1,
mimi naudhiwa sana na wivu....!
hatukatai wivu ni inevitable...lakini sasa kwenye infii mi sidhani kama tunahitaji wivu
Nafanya utaratibu wa kuondoa wivu kwa nafsi yangu.....wivu kwa mpango wa nje....mpango wa nje unakua open relationship....open & open!
Damn....i cant!
ukweli siwezi jua kama yupo au la....!ingawa anatumia blakbeli kusurf....!
nimeamua kutoa kile kilichopo moyoni baada ya kuona roho yangu inahangaika....!
inakuaje anionee wivu?
YULE SI WAKE...WALA SI WANGU!...MIMI NINA WANGU NYUMBANI...YEYE ANA WAKE NYUMBANI....!kwanin wivu?
ni deus huyu huyu....
deus Ti...!
ananidissapoint sana
<br />ni deus huyu huyu....<br /><br />
<br /><br />
deus Ti...!<br /><br />
<br /><br />ananidissapoint sana
mi nalia na hawa wanaojiita wana ndoa...!
hivi una ndoa (mume/mke)....halafu una hobby na mipango ya kando...halafu unaleta wivu?....!gademu
dah...lazima kuna kitu kwisha tokea....
unajua mj1,
mimi naudhiwa sana na wivu....!
hatukatai wivu ni inevitable...lakini sasa kwenye infii mi sidhani kama tunahitaji wivu
Nafanya utaratibu wa kuondoa wivu kwa nafsi yangu.....wivu kwa mpango wa nje....mpango wa nje unakua open relationship....open & open!
Damn....i cant!
hivi hii thread inamhusu pia wiselady?mi nalia na hawa wanaojiita wana ndoa...!
hivi una ndoa (mume/mke)....halafu una hobby na mipango ya kando...halafu unaleta wivu?....!gademu
Halafu mkipata maukimwi mnaanza kupanga foleni kwa BABU LOLIONDO... :A S 13::A S 13::A S 13:
Dhambi ni kosa la kiumbe mwenye *hiari dhidi ya uadilifu unaompasa.Sijui dhambi maana yake ni nini? dah!