Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
Hujambo bibie?
Hakuna wivu
Buheri wa afya hofu kwako laazizi
Hujambo bibie?
Hakuna wivu
Halafu mkipata maukimwi mnaanza kupanga foleni kwa BABU LOLIONDO... :A S 13::A S 13::A S 13:
Habari Senyu?
Uiteni utakavyo
Usemeni mtakavyo
Lakini babu haachi kuwa na wivu kwa kiumbe chochote cha jinsia ya kike kilichomvulia andawea kwa ridhaa yake.
Yaani yale makitu ananipa akupe na wewe?
Hahahaaa.....babu ana wivu hata kwenye umalaya lol
Babu anarudi kitandani kulala na kutafakari.
hahahaha!....Habari Senyu?
Uiteni utakavyo
Usemeni mtakavyo
Lakini babu haachi kuwa na wivu kwa kiumbe chochote cha jinsia ya kike kilichomvulia andawea kwa ridhaa yake.
Yaani yale makitu ananipa akupe na wewe?
Hahahaaa.....babu ana wivu hata kwenye umalaya lol
Babu anarudi kitandani kulala na kutafakari.
Wakuu,
Heri Inapatikana?
Natumaini nyote ni wazima......!
Teamo anaenda straight kwenye hoja......!Na ujumbe huu uwafikie ''wenye ndoa zao'',mkubali msikubali potelea mbali,mimi nawapa black-and-white
Kama umeoa/umeolewa......
Halafu Una hobby na ''mipango ya kando''......
TAFADHALI NAOMBA TUSIWE NA TABIA YA KUWEKA JEALOUSY DHIDI YA MIPANGO YA KANDO....!Haiingii akilini mwa mtu kwamba unatengeneza ''JEALOUSY'' ya level ya juu kabisa kwenye mipango ya kando ilhali unajua kuwa:
-MPANGO WAKO WA KANDO NI MKE/MUME WA MTU
-SIO KWELI KWAMBA ON A SERIOUS SCENARIO MTU UNAWEZA MPENDA MKE/MUME WA MTU IL HALI UNA MUME/MKE UMEMWACHA NYUMBANI!
mi nadhani hii mipango ya kando (kwa wenye hobby na nguvu za kumudu) tuwe tunashea ''kwa amani'' bila wivu....!kwamba leo wewe kesho na mimi pia BILA WIVU!na ukiniona we potezea tu maisha yaendelee au vipi?
habari ndo hiyo.....!kudadadadek
narudi kwa
-mkoloni wa amani
-mkoloni Ti
-mkoloni pikap
-mkoloni RaV4
-mkoloni stalet
-mkoloni gx100
-mkoloni eskudo
-wivu premio
Vp rafik yamekukta? Mana nakuona una jazba kwel! Bt ushaur wangu wa bure, ni kwamba tabia iyo ife! Wanaofanya ivo waache kabsa, na km hawawez kwa nguvu zao wamkri BWANA YESU na wafanyiwe TOBA, hatmae wataacha. Iyo ni roho ya uzinzi inayoongozwa na pepo mahaba 'MAIMUNA' Na hal hii imetawala sana, pepo hl huenda sambamba na pepo 'MAKHATA' pepo la Mauti na kifo. So ukiona upo ktk hal hyo, kmbia mapema coz muda s mrefu huyo mwenye mke au mme akikudaka ndo zako za kuish zmeisha may be neema ya Mungu ikulinde. Alo naongea hv coz nnayo mifano dhahri. Kuna wadada wawil na baba ambao tulikuwa darasa moja apa chuon tulikuwa tumalze wote bt wote wapo kaburin due to dis tabia! Aroo acheni! MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTI.
na mimi naomba niwe babu sasa....
naomba nirudi kitandani
Wakuu,
Heri Inapatikana?
Natumaini nyote ni wazima......!
Teamo anaenda straight kwenye hoja......!Na ujumbe huu uwafikie ''wenye ndoa zao'',mkubali msikubali potelea mbali,mimi nawapa black-and-white
Kama umeoa/umeolewa......
Halafu Una hobby na ''mipango ya kando''......
TAFADHALI NAOMBA TUSIWE NA TABIA YA KUWEKA JEALOUSY DHIDI YA MIPANGO YA KANDO....!Haiingii akilini mwa mtu kwamba unatengeneza ''JEALOUSY'' ya level ya juu kabisa kwenye mipango ya kando ilhali unajua kuwa:
-MPANGO WAKO WA KANDO NI MKE/MUME WA MTU
-SIO KWELI KWAMBA ON A SERIOUS SCENARIO MTU UNAWEZA MPENDA MKE/MUME WA MTU IL HALI UNA MUME/MKE UMEMWACHA NYUMBANI!
mi nadhani hii mipango ya kando (kwa wenye hobby na nguvu za kumudu) tuwe tunashea ''kwa amani'' bila wivu....!kwamba leo wewe kesho na mimi pia BILA WIVU!na ukiniona we potezea tu maisha yaendelee au vipi?
habari ndo hiyo.....!kudadadadek
narudi kwa
-mkoloni wa amani
-mkoloni Ti
-mkoloni pikap
-mkoloni RaV4
-mkoloni stalet
-mkoloni gx100
-mkoloni eskudo
-wivu premio
Ili uwe babu unapaswa uwe na mjukuu, siyo?
Ambia vijana wako wahangaike kukuzalia jukuuz.....afu uje tupange mikakati ya kibabu.
BTW hivi kuna watu wenye wivu kwenye umalaya?
Ili uwe babu unapaswa uwe na mjukuu, siyo?
Ambia vijana wako wahangaike kukuzalia jukuuz.....afu uje tupange mikakati ya kibabu.
BTW hivi kuna watu wenye wivu kwenye umalaya?
"If women are so bloody perfect at multitasking, how come they can't have a headache and sex at the same time?"
Ili uwe babu unapaswa uwe na mjukuu, siyo?
Ambia vijana wako wahangaike kukuzalia jukuuz.....afu uje tupange mikakati ya kibabu.
BTW hivi kuna watu wenye wivu kwenye umalaya?
nimeweka malalamiko yangu hapa baada ya kuona deus wa kingstaa ANANIONEA WIVU.....!
najiuliza wivu unakujaje wakati ana mke na watoto?