Bhaghosha
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 224
- 163
Mikutano ya hadhara kwa vyama ni njia mojawapo ya kufikisha ujumbe unaokusudiwa. Lakini pia hutumika kuleta hamasa au hasira/mori. Mnakumbuka Mtikila na Magabachori pale Jangwani.
Nawashauri sasa Chadema kugeuza approach. Katika wasemaji wao wachanganye pia watu wa aina ya Mwabukusi, au Askofu Mpemba nk nk nk. Hizi hotoba za Lissu ni za darasani sana. Ningependa watu wajawe na hasira. Inashangaza msafara wa Naibu WM unapishana na waandamanaji hata kumzoea tu hakuna? Wangemzomea tu pale wanainchi wangekuwa wameshindiliwa kichwani mwao kuhusu matumizi mabaya na ufujaji ya serikali.
NWM anatembea na msafara wa mashangingi ya mamilioni na wanainchi wako sawa tu.
Hotuba zenu sasa zielekezwe kwenye kuwachonganisha wanainchi na watawala ikiwemo CCM yenyewe.
Nawakilisha.
Nawashauri sasa Chadema kugeuza approach. Katika wasemaji wao wachanganye pia watu wa aina ya Mwabukusi, au Askofu Mpemba nk nk nk. Hizi hotoba za Lissu ni za darasani sana. Ningependa watu wajawe na hasira. Inashangaza msafara wa Naibu WM unapishana na waandamanaji hata kumzoea tu hakuna? Wangemzomea tu pale wanainchi wangekuwa wameshindiliwa kichwani mwao kuhusu matumizi mabaya na ufujaji ya serikali.
NWM anatembea na msafara wa mashangingi ya mamilioni na wanainchi wako sawa tu.
Hotuba zenu sasa zielekezwe kwenye kuwachonganisha wanainchi na watawala ikiwemo CCM yenyewe.
Nawakilisha.