Kwa hali na tabia ya watz kubadilika haraka kama bendera. Mpaka viongozi wa dini wanaokemea mabaya ya viongozi nao wanabadilika. Miaka mitatu iliyopita Viongozi wa dini hawa hawa na watz walikuwa wanamsema vibaya mh LOWASA sasa hali imebadilika na mh lowasa anakubalika kila kona kila sehemu mpaka makanisani na misikitini...maofisini..vyuoni...bodaboda...matajiri...n.k. Niwaombe UKAWA wasisimamishe mgombea URAIS wajikite na ubunge ndio pona yetu sisi walala hoi. Urais umeshaonekana njia ni ya mh LOWASA hilo halina ubishi...angalia vyombo vya habari kama wiki vilivyotekwa na mh. Bila nape kuzuia mafuriko ya wageni sijiui ingekuwaje...Lingine kuna hiki chama cha ACT nacho kimekuja kuvuruga upinzani badala ya kutetea wanyonge sasa kinapigana vita na chadema badala ya wanaotawala.
Mwisho watz bado sana kwenye siasa CCM ITATAWALA MILELE Nchi kama kenya zambia n.k zimepiga hatu kubwa sana kwenye siasa.
Nawakilisha hoja!!
Mwisho watz bado sana kwenye siasa CCM ITATAWALA MILELE Nchi kama kenya zambia n.k zimepiga hatu kubwa sana kwenye siasa.
Nawakilisha hoja!!