- Thread starter
- #21
2015 urahisi ni ndoto tunafanya hayo huku tukilenga uchaguzi wa 2020Ni ushauri uliochelewa. Cha msingi viongozi wa upinzani waaminiane tu!
2015 urahisi ni ndoto tunafanya hayo huku tukilenga uchaguzi wa 2020Ni ushauri uliochelewa. Cha msingi viongozi wa upinzani waaminiane tu!
Chadema ilishinda uraisi ccm wakachakachua sasa 2015 kura za chadema + kura za nccr + kura za cafu=Usindi wa 80%. Maisha ccm ata wachakachue vipi hawataweza ukawa ndio habari ya mjini.
CHATI YA 2015
1. Slaa Rais
2. Lipumba Waziri wa fedha.
3. Maalim sefu- rais znz.
4. Mbowe waziri mkuu
5. Mbatia Makamu wa Rais
WENGINE JAZIA
mmmmh ntachangia kesho
Maneno yenye mbolea
naunga mkono hoja